Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Unahangaika na mambo ya kawaida kabisa duniani. Kila mtu akifa wapo watakaofurahia na wapo watakaohuzunika na wengine hawatakuwa na hisia yeyote wakiona kuwa ni kawaida. Hata huko CCM kuna watu kibao tu walifurahia mioyoni na wengine wameshindwa kujizuia wameweza kuonyesha hisoa zao hadharani kwa namna moja au nyingine. Hayo maridhiano tayari yanathibitisha kuwa kulikuwa na tatizo ..... wenzako wameshakubali!!
 
Pia ni mzuri katika kipindi hiki cha maridhiano nanyi muombe msamaha kwa viroba vyote na kwa watu wote mliowateketeza wakati wa mwendazake
 
Huyo tayari keshatumbukia kwenye mtego!!! Kuna mambo binafsi na unapoamua kuwa kiongozi wa Chama kunakuwa na mambo ya Chama!

Keshajikaanga huyo...

CCM baba lao la Siasa....CCM wataibuka kumkemea Lissu ha ha haaa
 
Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Hahahha.. Nijichekee kwanza.
Amuombe msamaha kwa kutoonesha any sympathetic action kwenye hilo sakata? Na kuzuia asiruhusiwe kutibiwa nje ama?
 
Ba
bado mnapambana na Tundu Lissu tu?
 
Unatoaje maoni kwenye kifo?! Ukitaka kujua hebu fikiria kila kwenye maziko ya waislam hutolewa tangazo la nani ana mdai marehemu- ulishaona watu wanijitokeza? Unadhani ni ujinga au uoga?
Sasa unataka awe kama wewe? Aamini unachoamini wewe? Atende unachotaka wewe atende?

Haipo hivyo..!!

Tundu Lissu anabaki kuwa yeye na wewe na wengine huko mnabaki nyie hivyohivyo....

Hayo yanabaki kuwa ni maoni yake Lissu unless useme amevunja sheria fulani ya nchi hii...

Lakini kama amekukera wewe tu na machawa wenzako huko, basi huo utabaki kuwa ni ujinga wako tu mwenyewe na wenzako..!!
 
Mirija kukaba, inauma sana kwa waliozibiwa na faraja kwa walionyonywa kwa muda mrefu.


Hata Kifo cha Malikia Elizabeth, wa Ufalme wa Uingereza na kwingine ambayo iliwanyonya, kuwaua, kuwateka, kuwabaka, na kuwafanya utumwa Waafrika, Wahindi, Wachina, Wa NewZealand, Waboriji wa Australia na wengine wengi Duniani Alipokufa, It was a Poetic Justice.

When you offend god, you die.!
 
Ujinga pia ni mzigo, jitahidi kuutua!

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
You are quite right. Muuaji hata mtaani watu wakipata nafasi wanawachoma moto, sasa wanatofautiana nini na huyo aliyekuwa anatumia ofisi kuua?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Binafamu afanye makosa mengine yote, anaweza kusamehewa lakini siyo uuaji. Huyo bwana, alipofikia kuua watu, nilipata uhakika kuwa Taifa lipo chini ya utawala wa shetani.

Tunashukuru kwa watu wa Mungu, walioomba usiku na mchana, na leo tupo katika mazingira ambayo uhai wa binadamu umepata thamani tena.
 
wewe ni nani unaejua dhambi ya uuaji haisamehewi????? ila binadamu mna shida sana ya kujitolea hukumu msizozijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…