Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Nataka afe hata mara 100.
Magufuli alikuwa mdhulumaji, mwizi wa pesa za umma, muuaji,mtekaji,mpigaji risasi, na kila ubaya ambao hakustahiki kuufanya kama kinongozi yeye aliufanya.

Kila aliyesherehekea kifo chake wala simuoni mjinga kwa vile yeye hakuna na kemeo lolote alilolitoa kama kiongozi juu ya matukio mabaya yaliyokuwa yakitoa nchini mwake.

Nyinyi ni miongoni mwa watu mliosherehekea kupigwa kwake risasi,viongozi wa upinzani kukamatwa na kufungwa na kufunguliwa kesi za uongo sasa watu wakemee nini hapo.
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Yaani maridhiano kwa uovu wa makusudi ambao magufuli alifanya dhidi ya binadamu? Hakuna ushauri wa KIPUMBAVU na wa HOVYO kama huu. To err is human but to forgive is devine.

Muachieni Mungu kazi yake ya kusamehe musimuingilie tafadhali. Sisi binadamu lazima tuendelee kulaani UHAYAWANI huo ili vitendo kama hivi visijirudie tena kwa nchi yetu
 
Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Hakumlinda, hakumuonesha utu, wala hakumpambania.Licha ya maguvu ya marehemu hata haki za Tungu zilipoporwa kama mkuu hakuonesh jitihada zozote.Familia ikivamiwa anahojiwa baba.
 
Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Mimi naweza kukuambia mahali na watu waliokuwapo wakati Makonda na Musalika wana table hoja yao kwa Magufuli namna ya kumu eliminate Tundu Lissu.

Kama wewe unadhani Magufuli alikuwa mtu wa maana jihesabu ni MBURURA tu, hustahili heshima hata kwa wanao kama unao
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
LISSU ana haki ya kusema chochote kuhusu Magufuli. Hata akienda kupiga fimbo kaburi lake sawa tu.
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Na pia usisahau kikomo cha sifa mbaya na upungufu wa ubinadamu na unyama dhahiri ni kutaka au kupanga au kujaribu kukatisha uhai wa binadamu yeyote🤔.
 
Maridhainoyalianza kutafutwa hata kabla ya JPM hajawa raisi wala kufikiria kuwa
wapinzani-722362.jpg
Hii inanikumbusha walikuwa wanaenda kugonga kahawa na juisi then the rest ikawa historia.
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Tulishangilia alipoondoa NDULI bado mnashangilia kuondoka duniani kwa HITLER
 
Mmh! Mbona mama said wanasema ahusiki?

..labda Maza akiulizwa na wazungu atasema ukweli.

..nadhani mnakumbuka tulivyofura Lissu aliposema Jpm amekufa kwa Covid.

..Je, Maza hakuthibitisha kuwa Jpm alikufa kwa covid baada ya kuulizwa na mzungu wa Royal Tour?

..Wakati mwingine tatizo la Lissu ni ujasiri wake wa kusema UKWELI ambao Watanzania hatuko tayari, au hatutaki kuusikia.
 
Mleta Uzi amechukia kumsikia Lisu akiwa Hana masikitiko juu ya kifo Cha Magufuli, vipi kama Risasi hizo zote zingekuwa mwlilini mwa mleta Uzi?, Pengine huna hata undugu na Magufuli na umechukia vipi risasa hizo za Lisu zingekuwa kwako ungemlilia huyo Magufuli?
 
Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Huu ndio uongo wako mkubwa kushinda wote, yaani Magufuli aseme kabisa kwamba msaliti lazima auawe, akataze watu kwenda kumuona mgonjwa Nairobi, akatae hela ya matibabu, akatae stahiki zake asilipwe, akamate hata wanaovaa tisheti za kumpa pole mhanga, amdhulumu kwenye uchaguzi wake feki, akatae uchunguzi usifanyike lakini bado tu huamini.....!!

Hiyo ni shauri yako hata usipoamini lakini sisi wengine tunaamini kwa 100% kwamba Magufuli ndiye aliyeamuru Lissu auawe. Period.
 
Tundu lissu ni shujaa kama hujawahi kukutana na hali inayopelekea NEAR DEATH EXPERIENCE kaa kimya huna unachojua mateso yakizidi sana kwa mtu au matatizo au manyanyaso au kuumizwa kwa kupigwa sana hupelekea mtu kupata POST TRAUMATIC STRESS DISORDER aisee ukifika katika hali hii ukaweza kusurvive unakuwa shujaaa na hutoogopa kwalolote hivyo Lissu ni shujaa alikuwa sahihi kipindi kile kusema lolote na kama hayo matukio mawili hujawahi kukutana nayo katka Maisha yako yaan near death experience na traumatic stress disorder funga domo lako kaa kimya maana huna unachojua kuhusu maisha
 
Tundu lissu ni shujaa kama hujawahi kukutana na hali inayopelekea NEAR DEATH EXPERIENCE kaa kimya huna unachojua mateso yakizidi sana kwa mtu au matatizo au manyanyaso au kuumizwa kwa kupigwa sana hupelekea mtu kupata POST TRAUMATIC STRESS DISORDER aisee ukifika katika hali hii ukaweza kusurvive unakuwa shujaaa na hutoogopa kwalolote hivyo Lissu ni shujaa alikuwa sahihi kipindi kile kusema lolote na kama hayo matukio mawili hujawahi kukutana nayo katka Maisha yako yaan near death experience na traumatic stress disorder funga domo lako kaa kimya maana huna unachojua kuhusu maisha
POST TRAUMATIC STRESS DISORDER -KWA HIYO TUNAHANGAIKA NA MGONJWA
 
Back
Top Bottom