Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Blessed justification, I also celebrated, even now, tomorrow and the years to come, even if I am dead! I will celebrate the death of a killer!
You are quite right. Muuaji hata mtaani watu wakipata nafasi wanawachoma moto, sasa wanatofautiana nini na huyo aliyekuwa anatumia ofisi kuua?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa na nyenzo muhimu ntafanya hivyo, hapa ni sehemu ya watu kutoa mawazo yao kwa uhuru. Au ulitaka tutoe mawazo yetu bila kuandika?
Unathibitisha nilichokisema hapo mwanzo,hapa mnaleta porojo tu,wakati hata ukipewa hiyo access ya kwenda kuchoma moto hutothubutu.Kuchoma moto kunahitaji nyenzo gani zaidi ya kiberiti?
 
Kifo ni lazima kwa kiumbe hai yeyote. Lakini ukiona mtu kafa baada watu wengi kuomba kwa Mola akuondoe basi jua uko na matatizo
Kumbe unajua kila mtu atakufa ikiwemo na wewe mwenyewe.Nikadhani wewe ni Immortal.Hayo ya watanzania wengi waliomba ni porojo zako tu.
 
Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Kama JPM hakuhusika, kwanini ailizuia watu wasimuombee Lissu ?? Kwanini alilazimisha polisi kukamata watu waliovaa furana zenye nembo pray for Lissu?. Kwanini alizuia malipo ya matibabu ya Lissu? nk nk
 
Unatoaje maoni kwenye kifo?! Ukitaka kujua hebu fikiria kila kwenye maziko ya waislam hutolewa tangazo la nani ana mdai marehemu- ulishaona watu wanijitokeza? Unadhani ni ujinga au uoga?
Ina maana marehemu hakuwa na madeni
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Huo ndio ukweli wenyewe. Muuaji naye kafa
 
Zachary Bosire
WEWE Mtundu Rishwa.....nakuomba ukome na matamshi yako ya kihujumu. Even if Magufuli died of strangulation tje fact remains he is no more. Please get knowing that the cause of JPM death is a non issue now. You are not the family spokesman.
Better they strangled him to death otherwise it could be a disaster! May the Satan strangle him to the eternal hell!

Amen!
 
soma huyo Mkenya alivyo tudharau kutokana na ujinga wa Lissu
Nicholas Juma Wanyama
You should be sending condolence my friend, the New World order has no friend in Africa. Kenyan politicians are very mature, they have no enemies. When such incidence happen band to give warmth to each other.

Peleka ujinga mbali, tumeona Moi amefariki na wale aliowafanyia ukatili wamejitokeza kusema kuwa alikuwa kiongozi muovu. Au hayo maoni ya huyo mkenya mmoja ndio unafanya ni maoni ya kila mkenya?
 
Lissu ni much know, ogopa sana watu wanaopenda kujikweza!
Lissu's Achilles heel is 'MUCH KNOW'.
Typical example of a egotistical, and arrogant person. And this should not be confused with vigilance.
Vigilance could have saved him from that tragic incident.
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Mwende mkawaambie haya maneno wana mwanza.
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Huyu mwamba aliwakosea nini? Itoshe basi kilema alichopewa, mwacheni.

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom