Mkuu ukung'utwe risasi 38 , 22 zitoboe gari lako na 16 zitoboe mwili wako ,halafu serikari ya "MTU FURANI" isiwajibike unategemea Lissu akenue meno? Vaa viatu vyake kisha uje kuanzisha uzi tena.
"Adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa" -Mgambo Sele
Kwa mujibu wa taratibu za ulinzi hasa unaofanywa na vyombo vya dola mfano polisi huwezi pangwa LINDO halafu ujiondokee na uhalifu utokee halafu uachwe tu.Hiyo mission ya kumterminate Lissu ilikuwa planed licha ya kwamba Mungu wake hakutaka afe.Mkuu dunia ina mambo mengi sana! Hao walinzi ni binadanu tu kama mimi na wewe na wanaweza kupangwa na wakapangika vizuri tu!
Kwanini benki zinaibiwa na polisi wapo hapo na bunduki zao? Kwa nini dereva wa Lisu aliondoka nchini na mpaka leo hataki kurudi?
Tukupe sumu imuue mdo mdo ionekane Ni coronaLissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Na yeye funza wamemmalizaMkuu yeye Lissu si alikuwa anapambana na serikali, sasa wewe ulitarajia apewe tuzo gani zaidi ya hiyo.
Ata CIA ukienda tofauti na mipango ya nchi yao unaliwa kichwa!
Kwamba bwawa Ni Arusha Moshi na zaidiUrefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Ulitegemea ashike bunduki na Kuna wasio julikanaAlipigwa na JPM?
Wewe na mazezeta wenzako ndo mlifurahia kifo cha JPM lakini wapo wengi walisikitika sana tu kwa hiyo usiwe msemaji wa nafsi za watu!
Nitajie mmoja mwenye akili aliyesikitishwa na kifo cha Jiwe nami nikutajie mwenye akili kumi waliofurahia kifo cha huyo mwamba wenuAcha kuwasingizia waTanzania uwongo.
Hakuna mtanzania mwenye akili na mpenda maendeleo alie furahiya kifo cha Magu.
Furaha ni kwa nyie vyeti fek na wasaliti wachache wenye access ya JF.
Mkuu dunia ina mambo mengi sana! Hao walinzi ni binadanu tu kama mimi na wewe na wanaweza kupangwa na wakapangika vizuri tu!
Kwanini benki zinaibiwa na polisi wapo hapo na bunduki zao? Kwa nini dereva wa Lisu aliondoka nchini na mpaka leo hataki kurudi?
Kunasiku mtaokota makopo, kupambana na Marehemu 24/7 inahitaji uwe fyatu kidogo.Kufa Magufuli na akasema hilo, litabaki kuwa chaguo lake.
Tulimchagua kutuongoza siyo kufa kwa ajili yake binafsi na sukuma gang.
Na kama alipenda kufa siyo sahihi aupoteze uhai wa mtu yeyote kupitia wasiojulikana.
Serikali ingekuwa haihusiki wasingetoa camera za eneo la tukioHivi Leo ukija gundua kumbe adui alikuwa ndani ya chama chake utasemaje...do you think it's impossible..?
AiseeeeMzee wangu Makamba alisemaje vile kingine nmesahau Mzee Wangu Makamba ni Chama gani vile Magufuli sijui ila Mungu ndio mwenye kujua Mbwaa yule ameweke wapi.View attachment 2487607
Serikali isingeweza kukaa kimya lazima ingejisafisha kwakuwa lissu àna hadhi nchini na wakati ule alikuwa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeniKwani mmejuaje kama alipigwa nao, kwa nini msipanue wigo na kusema kapigwa na maadui ndani ya chama chake...watu wanaweza wali take advantage ya mahusiano na Serikali
Nyinyi watu hopeless sana, mleteni dereva mmalizeutata.Kama hilo lingekuwepo, Serikali lazima ingechukua hatua. Serikali kukataa kufanyia uchunguzi, Polisi khsimamisha magari yote na bodaboda kuruhusu gari lililokuwa na washambuliaji lipite baada ya kutekeleza shambulio, na waziri Kalemani kuondoa kamera baada ya shambulio na kuzikabidhi serikalini ni ushahidi tosha kuwa tukio lote lilifanywa na Serikali.
Yeye aresti in pisi tu, akirudi tunaye!Kunasiku mtaokota makopo, kupambana na Marehemu 24/7 inahitaji uwe fyatu kidogo.
Duh [emoji16][emoji16] punguza hasiraJiwe aliharibu sana nchi, hata kaburi lake ingefaa lichomwe moto kabisa
Sio lazima...hata hivyo watoa ushahidi wote waliobdoka unategemea nini...dereva kama first witness alisepa...sijajua mpaka leo ni kwanini alisepa..Serikali isingeweza kukaa kimya lazima ingejisafisha kwakuwa lissu àna hadhi nchini na wakati ule alikuwa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni
Hahaa jomba unajaribu kuteteeea..ukweli..kuwa mkweli alwaysMleta mada kubali tu ile ni “poetic justice”. Hakuna sherehe ya kifo wala kufurahia kisasi cha kupigwa risasi 16. Havina uhusiano. Mjadala mrefu hauna maana hapa. It’s irrelevant.
Lissu kaiwasilisha habari bila mikwaruzo “plainly”: aliyekanusha uwepo wa Covid-19 na kutupilia mbali tahadhari zote, Covid-19 imepita naye kuelekea kuzimu. Hiyo ndio poetic justice. And Lissu was not laughing or smiling - he just had that sad aloof outlook.
Una ushahidi jomba...mmhhSerikali ingekuwa haihusiki wasingetoa camera za eneo la tukio