Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake ,kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM .
Umeongea ukweli mtupu bro. Hata Chachawangwe angeuwawa kipindi cha Magufuli, lawama za kifo chake angetupiwa Magufuli huku wahusika wa kifo chake wakiendelea kucheka na familia yake, kama wanavyokula, kunywa na kucheka na familia ya Lisu leo.

Juhudi zake na umaarufu wake ndan ya chama chake zilimfanya bwana yule ahofie kiti chake, ndomaana hata Sumaye pamoja na kwamba ana ulinzi wake lakini alionywa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi wake. So ijekuwa Lisu anaezurura peke yake!

Siku ya hukumu au kiama (kama ipo) tutaona mengi hata yale ambayo hatukuyatarajia au kuyafikiria.
 
Ndugu COMTE na CCCM Yako ni wanufaika wakubwa wa siasa za maji taka.

Ninyi CCCCM Kila siku ndo mnamtukana Magu majukwwaani halafu mnataka CDM na Lissu waonekane ndo wahusika.

CCM ni Chama chakavu na kimeishiwa HOJA.

Watanzania na wananchi wa Kanda ya ziwa wamestuka na kuwapuuza.
 
Sio msemaji wa Mr. Lissu, binafsi its a YES, hujui wewe uchungu wa kuondolewa kwa mpendwa wako bila ya kuwa n closure yake,mtoa hoja umeshawahi kuamka asubuhi na kujiuliza familia ya Mr.Saanane wanaishi vipi, wakoje au nawe ndio katili usiejali jirani yako yukoje
Mkuu tupe proof ya hayo unayoyaleta hapa? Sikiliza hukumu ya mwisho na ya haki ni ya Mungu, na wewe si Mungu. Usikipe Umungu kwa kuhukumu watu.
 
Mwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!
Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.

Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.

1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.

2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR .
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.

3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.

4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA ,kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.

5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lisu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Bila kuzunguka mbuyu, wewe ni mjinga, ndiyo maana maana Sukuma gang wote mnaonekana ni wapuuzi mbele ya Watanzania
 
Umeongea ukweli mtupu bro. Hata Chachawangwe angeuwawa kipindi cha Magufuli, lawama za kifo chake angetupiwa Magufuli huku wahusika wa kifo chake wakiendelea kucheka na familia yake.

Siku ya hukumu au kiama (kama ipo) tutaona mengi hata yale ambayo hatukuyatarajia au kuyafikiria.
Uchawa mwingine ni mavi! Sasa muuaji mkuu mwingine anayefahamika hata na shetani wenzake ni nani kama siyo yeye aliyeamuru hata mwili wake usipelekwa bungeni kuagwa endapo atakufa!
 
Uchawa mwingine ni mavi! Sasa muuaji mkuu mwingine anayefahamika hata na shetani wenzake ni nani kama siyo yeye aliyeamuru hata mwili wake usipelekwa bungeni kuagwa endapo atakufa!
Tuelezetu wewe KUPE Chacha Wangwe alikufa vipi?
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Ni nani alitaka kumuua Lisu?
 
Magufuli alikubalika Kanda ya ziwa sababu alishiriki kikamilifu kucopy HOJA za CDM Kutoka ILANI ya CHADEMA na kuitekeleza.

Mfano mzuri ni ujenzi wa SGR, Magufuli alichukua wazo Hilo na kulianzisha.

Kupambana na Wala RUSHWA pia alicopy Kutoka ILANI ya CDM enzi za Dr Slaa.

MAGUFULI na CDM ni marafiki wazuri Kanda ya ZIWA kiitikadi na kiuzalendo.
 
Kwani wewe kifo cha shetani Magufuli hukufurahia? Au ndiyo ile ya kujionyesha mbele ya machawa wenzako kuwa ulisikitika kifo chake!

Kumbuka hata machawa wa CCM walishangilia na kuchekea chooni kifo cha mshenzi yule sasa sisi wengine ni nani tusimshukuru Mungu kwa kutuondolea nduli yule!
Kwa CCM waliobaki siyo Mashetani,mbona tunaishi maisha magumu ndani ya taifa tajiri.
 
Unatoaje maoni kwenye kifo?! Ukitaka kujua hebu fikiria kila kwenye maziko ya waislam hutolewa tangazo la nani ana mdai marehemu- ulishaona watu wanijitokeza? Unadhani ni ujinga au uoga?
Watanzania wengi waliumizwa na huyo mungu wako ambaye kwa sasa yuko motoni
 
Uchawa mwingine ni mavi! Sasa muuaji mkuu mwingine anayefahamika hata na shetani wenzake ni nani kama siyo yeye aliyeamuru hata mwili wake usipelekwa bungeni kuagwa endapo atakufa!
Na Mwangosi aliyeuwawa kinyama,aliuwawa na Magufuli?
 
Back
Top Bottom