Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Nina uhakika asilimia zote ule mpango uliratibiwa na serikaliUna uhakika Lissu alipigwa risasi na Magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina uhakika asilimia zote ule mpango uliratibiwa na serikaliUna uhakika Lissu alipigwa risasi na Magufuli?
mwanza musiwabomolee majumba hata kama wamejenga kwenye hifadhi ya barabara kwakuwa wamenipigia kura ila dar wabomolewe tu by jpm mtetezi wa wanyongeYeye aendelee na umalaya wake. Mapenzi ya Mungu hayafanyiwi mzahai.
Jpm alipigania haki na usawa kwa umma na hasa kwa wanyonge. Umma wa wananchi watalipiza kwa hao wazandiki kstika wakati muafaka.
Tundu lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake ,kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM .
Yes it does, hata huko aliko afe tenaDoes that justify his celebration upon the death of JPM?
Ni sawa chinja na ule na wa moyoni mwako siyo kuonyesha hadharani- watu watakushangaa
Vipi kuhusu aliyetaka kuongoza malaika?Lissu ni much know,ogopa sana watu wanaopenda kujikweza!
did he celebrated or just commented. What kind of school of thought do you come from that you cannot differentiate between commenting and celebrating?...stop your lame accusationsDoes that justify his celebration upon the death of JPM?
Jpm alikuwa mkuu wa nchi. Yeye ndiye mtu wa kwanza aliyetakiwa kuhakikisha waliohusika na ushetani ule wanawajibishwa. Lakini tuliona hakuna uchumguzi wowote iliyofanywa, Lissu akanyimwa stahili za matibabu, na hatimaye akanyang'anywa ubunge akiwa kwenye matibabu. Yote hayo yanafanyika magufuli alibariki.Alipigwa na JPM?
Mkuu yeye Lissu si alikuwa anapambana na serikali,sasa wewe ulitarajia apewe tuzo gani zaidi ya hiyo.
Ata CIA ukienda tofauti na mipango ya nchi yao unaliwa kichwa
Sawa, lakini uwe Rais muuaji wa raia wako then ufe alafu wananchi wasahau au kupotezea kirahisi kweli?Uko sahihi sana. Hatutakiwi kutumia madhaifu ya watu kukufuru.
Ni kweli mkuu. Ila linapokuja swala la kuhandle vitu kila mmoja ana reaction zake. Sipo kutetea alichofanya ILA tunasikia kuna mtu kajinyonga KWA sababu kakuta mke au mume na mwanamke mwingine. Na utasikia kaachana na mke wake amemcheat ILA ajamfanya chochote. Ukielewa hii principle haitakupa shida kuelewa kwanini lisu alifurahi kila mtu ana reaction yake kutokana na kitu ambacho anakipenda au kutokukipenda. Vita vinapiganwa nchi moja ikishinda inashehelekea na maelfu ya nchi jirani wanaumia kupoteza wapendwa. KWAko unaweza kuona ni ajabu ILA kwake ni jambo la kawaidaNi sawa chinja na ule na wa moyoni mwako siyo kuonyesha hadharani- watu watakushangaa
Uko sahihi, ndiyo maana matendo ya Jiwe ya uovu matokeo yake ndiyo haya ya kupondwa na kila raia mwenye akili timamu. Hapo ondoa sukuma gang kama weweKila unachofanya Duniani kina matokea yake,ukipambana na serikali yoyote matokeo ni kifo au uhame nchi husika.
Ndiyo maana Mwandishi Asange anawindwa na Marekani mpaka Leo kwa sababu za kudukua mawasiliano yake.
Sasa akifa adui ndiyo furaha yako. Isingekua hivyo basi vitani ingekua ni shereheKikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
![]()
Tutahama in a natural way na siyo kuombewa na Watanzania kuwa Mungu atuhamishe kama Watanzania walivyofanya kwa JiweNa yeye na wewe mtabaiki hapa Tanzania milele?
Jiwe aliharibu sana nchi, hata kaburi lake ingefaa lichomwe moto kabisaUmesema "kwa vile mpo kwenye maridhiano"
Unafikiri hayo maridhiano ni kutengenza uharibifu uliosababishwa na nani?
Kama ni uharibifu uliosababishwa na Magu, unadhani kungekuepo na jambo la maridhiano katika uhai wa mtu yule yule anaeharibu na kuufurahia uharibifu?
Jibu ni Hapana!!
Zachary BosireSasa tuchukulie lissu angekuoa wewe halafu upo nyumbani unasikia mumeo kapigwa risasi 16 ungefurahi?
Zachary BosireWatanzania wengi waliumizwa na huyo mungu wako ambaye kwa sasa yuko motoni
Zachary BosireChawa uchwara huwezi kuwa na majibu!
Hata ukienda kinyume na mipango ya Mungu lazima uliwe kichwa. Ref kifo cha JiweMkuu yeye Lissu si alikuwa anapambana na serikali,sasa wewe ulitarajia apewe tuzo gani zaidi ya hiyo.
Ata CIA ukienda tofauti na mipango ya nchi yao unaliwa kichwa!
Mkuu unaonaje uende Chato ukalichome moto hilo kaburi.Mbona ni rahisi sana kuliko kupiga porojo hapa JFJiwe aliharibu sana nchi, hata kaburi lake ingefaa lichomwe moto kabisa