Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes pleaseKama upo serious unataka kushiriki nikutumie details PM
sure,Story za mashambenga ndio huwaga za hivi.

mshirikina na msukule mkuu wa ufipaMchawi wa Lumumba🤣

Bila Shaka kidume anakuja kutangaza nia!... Safi sana!!!Kesho tukijaliwa Tundu Lissu atafanya mkutano na waandishi wa habari.
Ukumbi wa mkutano utatangazwa baadae.
Ajenda kuu ya kikao chake ataisema kwenye kikao.
Ulipaswa kuattach na huo ushahidi wa XMakamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu ataongea na Waandishi wa Habari kesho Alhamis 12/12/2024 saa 5:00 Asubuhi
Makamu Mwenyekiti amearifu Ukurasani X
Wote mnakaribishwa
Mlale unono 😂
Kwako Makupa
Ndo anayefaa kwa mazingira ya sasa ya nchi yetu na siasa za upinzaniMropokaji tu huyo.
Ni jambo jema, nahisi anaenda. Kutangaza Nia ya kugombea uwenyekiti.Binafsi namuombea mungu, pia nawaomba wapenda mabadiliko wamuunge mkonoKesho tukijaliwa Tundu Lissu atafanya mkutano na waandishi wa habari.
Ukumbi wa mkutano utatangazwa baadae.
Ajenda kuu ya kikao chake ataisema kwenye kikao.
Update
Ukumbi ni Mlimani City
Muda ni saa 5 asubuhi
Gharama za event zimetokana michango ya diaspora, sauti ya watanzania group na watanzania wapenda mabadiliko. (Mil 10)
Tuma mkuu.Kama upo serious unataka kushiriki nikutumie details PM
🤣🤣ndo demokrasia tunayoipiganiaMbowe aione kwenye jalada
SI makinikia mliachia🤣🤣Mwambieni hatujashitakiwa MIGA na ndege zinaendelea kununuliwa
Huu ujumbe usambae kote kwa wapenda demokrasiaMakamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu ataongea na Waandishi wa Habari kesho Alhamis 12/12/2024 saa 5:00 Asubuhi
Makamu Mwenyekiti amearifu Ukurasani X
Wote mnakaribishwa
Mlale unono 😂
Kwako Makupa
Ni kipi cha kuchekesha "kuzuia uchafuzi"!Anataka kuzuia uchaguzi, hii nchi ina vichekesho
Sifa kuu ya mwanasiasa ni kuongeaTatizo la lisu ni kuongea sana.
Unaweza kuta yote hayo kwenye press hakuna jipya alishayaongea.