Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna uhalifu, awasiliane na vyombo vya dola, ukijichukulia sheria mkononi, na dola itakuweka mikononiNi kipi cha kuchekesha "kuzuia uchafuzi"!
Kuna kosa lolote uhalifu ukizuiwa kufanyika?
Dola ipi, CCM? Hivi unapo andika ujinga wa aina hii huwa pia unaona umechangia chochote cha maana, au unajisemea tu mradi uonekane umeandika chochote JF hata kama hakina maana?Kama kuna uhalifu, awasiliane na vyombo vya dola, ukijichukulia sheria mkononi, na dola itakuweka mikononi
Dola ipi, CCM? Hivi unapo andika ujinga wa aina hii huwa pia unaona umechangia chochote cha maana, au unajisemea tu mradi uonekane umeandika chochote JF hata kama hakina maana?
Kuna tofauti kubwa ya mimi mjinga na wewe uliye mpumbavu..CCM na dola ni taasisi tofautii, jitahidi kuficha ujinga wako, ndugu zako tunaaibika