johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
😂😂😂😂Ili baadae waanze kutekwa?
# baadae usiku ulale unono😂
Alifuatilia kupitia tigo?Jiwe mwenye alitamka hadharani kuwa walikuwa wanafuatlia mawasiliano yake halafu wewe unaongea nini hapa?
Swali Zuri.Vipi wale walio kuwa wakichukua pesa za watu bank nao walijupendekeza kwa serikali
Nchi haiendeshwi kama tamthiliaInawezekana ni kakikundi fulani tu ndani ya TIGO ndio walishirikiana na hao Majambazi waliokuwa wanafuatilia nyendo za Lisu
Hakuna ugumu wowote wa Serikali Kufuatilia nyendo za Mbunge inapolazimu
Lisu alikuwa anaishi kwenye nyumba ya Serikali sasa hadi uhangaike na akina TIGO kumfuatilia? 🐼
Tamthiliya ya Jumong ina mafundisho yote haya
Ahsanteni sana 😄
Google/Alphabet, Alibaba, Microsoft etc etc zinazidi serikali ya Tz kitechnologia zaidi ya miaka 200, acha mbali FBI au CIAAlifuatilia kupitia tigo?
Mbona mnaifanya JF kuonekana kuwa jamvi la vilaza?
Usijidanganye brother.....Mfumo wa serikali kupitia TCRA ? kazi yakutrack watu sio rahisi kwa watu hawa.wangemtrack Mbowe na kujua yuko wapi siku ya kuamkia maandamano.
Hawawezi bila kupitia mitandao ya simu nakuambia.Usijidanganye brother.....
Kuna jamaa walimprintia mkeka wa txt za mkewe na lizee fulani hivi lina hela.Hapa Tanzania ukihitaji taarifa za mtu wako wa karibu mfano mke/mume/mfanyakazi mwenzio ..... unazipata kutoka kampuni ya simu kiulaini sana
Wewe Tutusa Kwenye Mawasiliano hao TIGO ni Watoto wadogo mno 🐼Nchi haiendeshwi kama tamthilia
Uhai wa mtu haufanyiwi maigizo.
Hizi thread zenu za kijinga zinazidi kuamsha hasira zetu. Ninafahamu namna ambavyo dola inavyoingilia mawasiliano ya raia kupitia makampuni ya simu.
Next time kabla haujapost tafakari kwa kina maana unatia aibu
Mbowe huyu huyu aliyetoka Gerezani na kwenda direct IkuluMfumo wa serikali kupitia TCRA ? kazi yakutrack watu sio rahisi kwa watu hawa.wangemtrack Mbowe na kujua yuko wapi siku ya kuamkia maandamano.
Hujui lolote 🐼Jiwe mwenye alitamka hadharani kuwa walikuwa wanafuatlia mawasiliano yake halafu wewe unaongea nini hapa?
Huna haja ya matusi wala Lugha mbaya.Mbowe huyu huyu aliyetoka Gerezani na kwenda direct Ikulu
Watanzania mbona mko mabwege sana 🐼