Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Sijui labda kwa Symbion, kama unatumia I phone or Black Berry au Windows kama unatumia Nokia, lakini kwa sisi wa Android phone, kila thread inaonyesha jina la thread starter, hivyo kama hataki kusoma threads za Kaka Wakudadavua, you have a choice ila utapitwa na mengi maana huyu Kaka Wakudadavua sii mchezo!.
P
Dogo PaskaliMayalla kwanini usimwambie ukweli na kifasaha tu kua" Mwana mbati Mashikolo mageni"????
Act+cuf+chadema!!!!!!!!!Acacia wamesimamia na kufadhili vikao vya Kuwaunganisha Zitto na Lissu
Lissu, Zitto, Jussa, Seif Sharif, Nyalandu ni Muungano hatare kwa Maslah ya Taifa na Chama uangaliwe kwa macho makini
Dola isimame na Chadema dhidi ya ACT
ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
HatariAct+cuf+chadema!!!!!!!!!
Ccm baba yenu bado hamjamjua nini anataka.?????
Kama ungekuwa seriuos ungekula ban wakati tetesi za Maalim Seif kujiunga na Act-W.
Uchochezi huu mkuu! AchaDola isimame na Chadema dhidi ya ACT
ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
Anamalizia kufanya analysis yake hivyo anataka ku confirm kitu,ni njia inayotumika ktk ujasusi mfano kumwambia mtu wewe ni maskini huna kitu halafu huyo mtu bila kujua ametegwa hulipuka na kutaja mali zake.Mkuu Pascal....una mambo na visa sana....Ha ha haaa!! Mbona unahimiza sana tujue jinsi/jinsia ya mleta mada!?
wakudadavua acha hizo,hata makatibu wakuu walikuwa wanakula nchi itakuwa hao wapinzani musiba kasema hao viongozi Hawa aminiki.Kamanda kazi ya upinzani ni kula ruzuku
safiwakudadavua acha hizo,hata makatibu wakuu walikuwa wanakula nchi itakuwa hao wapinzani musiba kasema hao viongozi Hawa aminiki.
Umeamua kumtusi kisiasa kama IDD amin alivyo Fanya kwa JKN..........!Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
Jamii forum kumejaa mapopoma siku izi. Hizi unajua mgombea mwenza anapatikana vipi?Ninachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
We jamaa nilikuaga sijakujua vizuri. Kumbe ni muelewa wa mambo mzuri sana.Hawezi kuwa mgombea mwenza wake maana wote wanatokea bara. Mgombea mwenza anapaswa kutoka Znz. Vyovyote iwavyo, Zito ndio anafaa zaidi kugombea urais kwani anamudu uchumi, mambo ya kijamii na demokrasia na ana misimamo ya wastani, shida yake haaminiki. Lisu pia anafaa lakini amejikita kwenye sheria zaidi kuliko uchumi na ana siasa za misimamo mikali. Lissu akiwa rais tunaweza kukutana na tatizo lililopo sasa hivi kuwa na rais anayesimamia jambo moja tu na kusahau maeneo mengine.
Ni kweli siasa kwao ni ajira tu. Hata yote waliyodai serikali ikitekeleza watapinga tu vinginevyo wanaona wasipopinga kazi hakuna.Wanasiasa wanafanya siasa kama ajira na njia ya ulaji, badala ya kufanya siasa za kuwasaidia wananchi.
Kwa sasa hatutakiwi tu-give - a - fuvk kuhusu hizi hamahama za wanasiasa bali tuwasubiri kunako sanduku la kura tuu.
Nadhani sauti iko vizuri.[emoji350][emoji344]
Unforgetable
Mmmmmmmm acha hizo Pascal. Sentensi yako ya mwisho hatareeeeeeeee.Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
Mku hiyo haiwezekani hawa wote wanatoka Tz bara nafasi ya mgombea mwenza ni kutoka ZnzNinachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Kuandika tu hujui halafu unataka tuamini mawazo yako kwenye vitu vikubwa vinavyohitaji akili kubwa kuliko kujua kusoma na kuandika?Lisu washamtoa mchezoni kispycholojia hayupo sawa ikiwa mtu tu aliyekoswa na lisasi anachanganyikiwa je aliyepigwa risasi mwilini lisu ndio basi tena katika siasa za bongo
Msishangae tu akaunga juhudi mh rais hapo ndio mtaishiwa pause maana washamvuluga
Sijui ni nani yule nilimwambia Paskali hana haja ya kusoma Class 101 of Sarcasm Writing!Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P