Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Status
Not open for further replies.
Sijui labda kwa Symbion, kama unatumia I phone or Black Berry au Windows kama unatumia Nokia, lakini kwa sisi wa Android phone, kila thread inaonyesha jina la thread starter, hivyo kama hataki kusoma threads za Kaka Wakudadavua, you have a choice ila utapitwa na mengi maana huyu Kaka Wakudadavua sii mchezo!.
P

Mimi ndio wakutumia symbion?

Gotta be serious wewe!

Dharau za rejareja sipendi!

Ni tatizo la settings hapa!
 
Acacia wamesimamia na kufadhili vikao vya Kuwaunganisha Zitto na Lissu

Lissu, Zitto, Jussa, Seif Sharif, Nyalandu ni Muungano hatare kwa Maslah ya Taifa na Chama uangaliwe kwa macho makini

Dola isimame na Chadema dhidi ya ACT

ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
Act+cuf+chadema!!!!!!!!!


Ccm baba yenu bado hamjamjua nini anataka.?????
 
Kuna watu wanawatetea wanasiasa hapa,nadhani hawajui tabia za ukigeugeu wa politician's, hawa watu hutakiwi kuwaamini hata salamu tu
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.

Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.

P
Umeamua kumtusi kisiasa kama IDD amin alivyo Fanya kwa JKN..........!
 
Kwenye siasa chochote cha weza kutokea na pengine hilo sio kitu cha kushangaza kabisa maana ata akienda TLP haiwezi kubadilisha misingi ya maisha binafsi, siasa ni kama mapenzi waweza fanya chochote ili upate penzi
 
Hawezi kuwa mgombea mwenza wake maana wote wanatokea bara. Mgombea mwenza anapaswa kutoka Znz. Vyovyote iwavyo, Zito ndio anafaa zaidi kugombea urais kwani anamudu uchumi, mambo ya kijamii na demokrasia na ana misimamo ya wastani, shida yake haaminiki. Lisu pia anafaa lakini amejikita kwenye sheria zaidi kuliko uchumi na ana siasa za misimamo mikali. Lissu akiwa rais tunaweza kukutana na tatizo lililopo sasa hivi kuwa na rais anayesimamia jambo moja tu na kusahau maeneo mengine.
We jamaa nilikuaga sijakujua vizuri. Kumbe ni muelewa wa mambo mzuri sana.
 
Wanasiasa wanafanya siasa kama ajira na njia ya ulaji, badala ya kufanya siasa za kuwasaidia wananchi.

Kwa sasa hatutakiwi tu-give - a - fuvk kuhusu hizi hamahama za wanasiasa bali tuwasubiri kunako sanduku la kura tuu.


Nadhani sauti iko vizuri.[emoji350][emoji344]


Unforgetable
Ni kweli siasa kwao ni ajira tu. Hata yote waliyodai serikali ikitekeleza watapinga tu vinginevyo wanaona wasipopinga kazi hakuna.
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.

Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.

P
Mmmmmmmm acha hizo Pascal. Sentensi yako ya mwisho hatareeeeeeeee.
 
Lisu washamtoa mchezoni kispycholojia hayupo sawa ikiwa mtu tu aliyekoswa na lisasi anachanganyikiwa je aliyepigwa risasi mwilini lisu ndio basi tena katika siasa za bongo

Msishangae tu akaunga juhudi mh rais hapo ndio mtaishiwa pause maana washamvuluga
Kuandika tu hujui halafu unataka tuamini mawazo yako kwenye vitu vikubwa vinavyohitaji akili kubwa kuliko kujua kusoma na kuandika?
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.

Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.

P
Sijui ni nani yule nilimwambia Paskali hana haja ya kusoma Class 101 of Sarcasm Writing!
 
Lissu ni Mwanasiasa na Mwanasheria mwerevu na ana misimamo ya kisiasa iliyo tukuka na ndiyo maana ukiwapanga wanasiasa best 5 hapa Tanzania wenye akili na misimamo madhubuti basi Lissu atakuwa mmoja wapo.

Misimamo yake ya kisiasa na uwezo wake wa kipekee wa kujenga hoja ndiyo unaofanya Watanzania wampende na kumwamini.... na ndiyo ulipelekea baadhi ya watu wabaya kushindwa kujibu hoja zake na na kuona njia rahisi ni kumpeleka kaburini.

Ninachokiona mimi ni kwamba tutegemee ushirikiano kati ya ACT - Wazalendo ambayo ina nguvu kubwa Zanzibar na CHADEMA - Yaani coalition mpya inakuja kali zaidi ya UKAWA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom