Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kujizolea zaidi ya kura milioni 16.7, ni za wanavyuo vikuu, graduates na wafanya kazi

Atakayebisha yoyote yule basi hana akili au akili zake ni kama za mbuzi tena beberu
 
 
Acha zako wewe!!! Tundu mwenyewe midomo imejaa matusi tu!! Labda akaongoze genge la wahuni huko!!!

Alway graduates tunajua nini tunafanya ondoa hiyo generalization yako!!
Mkuu usiwasemee graduates wenzako jisemee wewe kama wewe,,,mbona mm n graduate lakin nipo kinyume nawewe
 

UPUMBAVU NA UJINGA WA HAL IYA JUU KIWANGO CHA LAMI.
 
Nani kamjari mnyonge zaidi ya JPM hata upinzani mnajua hilo,

ubabe, jeuri na ukatili ni kwa wale wasiolitakia mema taifa wahujumu wa nchi na wasio tii sheria za nchi!!

Namwamini sana huyu jamaa JPM
anawajali wanyonge kvp,, akati kuna wanyonge kule mtwara wamekaa miaka miwili bila kulipwa pesa zao za korosho billion 23,,Leo hii uchaguzi unafika ndo mnaanza kuleta propaganda za kuwalipa wakulima wa korosho sh billion 20..aya hizo billion 3 zinazobaki atalipa lini au ndo mwasubiri uchaguz wa 2025...
 
Sema ACT wanatakiwa kuwaunga mkono CHADEMA
Shida n mzee Membe, amekuja kuwa kikwazo kwa wanaupinzani kwasabu. Membe amekuja upinzani na lengo la kugombea uraisi na saiz naona anataka kuwaconvice chadema waungane ili wamsimamishe yeye kwenye kiti cha uraisi
 
Hizo ni Hesabu za kilimo cha matikiti kutoka kwa Motivational speakers.
 
labda wanafunzi wa nje ya nchi, kwa research yangu ndogo baadhi ya vyuo mpaka sasa sjaona kelele zozote za lissu hata uyu membe ni nyie tu ndo mnamkuza uku mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…