Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kujizolea zaidi ya kura milioni 16.7, ni za wanavyuo vikuu, graduates na wafanya kazi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kujizolea zaidi ya kura milioni 16.7, ni za wanavyuo vikuu, graduates na wafanya kazi

Mmmmh bila mbinu mbadala ktk machakato mzima wa uchaguzi, sidhani km inaweza kutokea mabadiliko, lazima tubadilishe mbinu kuutoa utawala wa udhalimu.
Udhalimu unaenda kufika mwisho. We hamasisha upihaji kura mahali ulipo.
 
LISSU akigimbea atanifanya na mimi niende nikapige KURA tena mwaka huu maana nilishakata tamaa.
 
Hesabu hizi ni kama kilimo cha kwenye mtando, eti unawekeza laki saba kwenye eka ya matikiti baadae unavuna na kuuza unapata milioni 20
Hahha makadirio ni muhimu. Hata ispokuja sahihi lakini angalau unakuwa na mahesabu
 
What is this supposed to be!? Bandiko au andiko la kumpigia kampeni MDIASPORA LISSU au MKIMBIZI LISSU? Mgombea hajaja, hajachukua fomu, hajajitokeza hadharani, nyinyi wenye bahati wachache ndio MNAMUONA MITANDAONI na kumsemea. Haya tusubiri tuone mambo haya yatakavyo kuwa as we approach his arrival date, alisema anaingia Tanzania lini, tarehe 27/07/2020? Anasubiriwa ajibu kesi zake na kosa la KU-JUMP BAIL! All the best wapiga debe.
Kama huna taarifa form amesharudisha, ya kugombea uraisi!!
Lissu alikuwa kwenye matibabu ulaya baada ya kupigwa marisasi na kupona kifo ,hakuna asiye lijua hilo!!
Wewe unasema kuwa alijump bail kweli bila aibu??
Wewe ni muhusika nini, Mungu amemponya ni lawyer atapambana na maswala ya mahakamani.
Keep cool things are under control, God is our driver!!
 
Kama huna taarifa form amesharudisha, ya kugombea uraisi!!
Lissu alikuwa kwenye matibabu ulaya baada ya kupigwa marisasi na kupona kifo ,hakuna asiye lijua hilo!!
Wewe unasema kuwa alijump bail kweli bila aibu??
Wewe ni muhusika nini, Mungu amemponya ni lawyer atapambana na maswala ya mahakamani.
Keep cool things are under control, God is our driver!!
God is our Lord
 
Nani kamjari mnyonge zaidi ya JPM hata upinzani mnajua hilo,

ubabe, jeuri na ukatili ni kwa wale wasiolitakia mema taifa wahujumu wa nchi na wasio tii sheria za nchi!!

Namwamini sana huyu jamaa JPMe
Nyonge yupi unayemsema wewe??
Kg ya sukari ilikuwa 1200Tshs sasa ni 3000Tshs+- !!
Mtwara na Lindi malipo ya korosho bado yanapelekwa, cheque ya Tshs20Billion imepelekwa leo na PM.
Bei ya mbaazi ilikuwa/ Tshs 250,000/=+- 2015 sasa ni Tsh 50,000/=+-.
Unafikiri hao wakulima au pesants wanaishi vipi kwa hali hiyo??
Wanyonge wepi hao to mantion just a few??
Ukombozi unatakiwa from these black colonialists!!
 
hizi ndoto ni za lini tena?
nashangaa mnaofikiri ushindi wa Urais kupitia kwa Antipas Tundu Lissu bora hata Nyalandu wa Singida
maana kuna Membe anayeongoza Chama cha Upinzani ACT kitakachosumbua angalau 6% kura ya Urais
 
wasomi wa vyuo ni jipu!
hawajitokezi kupiga kura ndo tatizo lao
lakini wanategemea mabadiliko ,sijui yatoke wapi
 
Hivi kuna watu mnaowaza kwamba upinzani watashinda uchaguzi.......??
 
Hakika mambo yanazidi kunoga. Wakati uko upande wa Lissu. Namba pia ziko upande wake. Lissu amejipambanua kuwa mkombozi wa Wanavyuo vikuu, waliomaliza vyuo vikuu na wafanya kazi kwani anania ya dhati ya kuwakomboa makundi haya muhimu ktk taifa letu.

Akitangaza nia ya kugombea Kiti cha urais mwanzoni mwa July 2020 kupitia bendera ya upinzani ameeleza kuwa anatambua maumivu, mateso, umasikini na kero zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano. Taarifa zinaonesha kitakwimu kuanzia 2000 hadi 2018 zaidi ya wanafunzi 16.7M wamemaliza vyuo. Hawa ni kundi la wanamabadiliko. Wanaounga mkono sera za maendeleo wanaopenda uhuru na siasa safi.

1. Serikali imeamua kuwanyonga na kuwakamu mpaka damu graduates ( waliomaliza vyuo vikuu) kwa kutunga sheria mbovu za makato ya mikopo asilimia 15 kinyume cha sheria iliyokuwepo kwenye mkataba cha asilimia 8 tu. Hali hii iliyotetewa na wabunge wa CCM huku bunge likiwa gizani imeleta umaskini badala ya kuboresha maisha ya wahitimu hawa mara wanapoajiriwa au kujiajiri badala ya kuleta nafuu.

Imefika mahali mwajiriwa anaona bora asipate ajira afanye udalali au hata umachinga tu.

Mfano ni kijana mmoja nimekutana naye kwenye ofsi za bodi ya mikopo aliyesomea nchini China. Baada ya kupata ajira mshahara wake yaani gross salary ni 1.2M baada ya makato ya kodi za kikoloni na 15% ya Bodi ya mikopo anabakiwa tu na laki sita. Hali ni tete

2. swala la ajira limekuwa mtihani mkubwa na sintofahamu. Waliomaliza wanasugua visigino huku hakuna taasisi inayotoa mikopo nafuu ili wajiajiri kirahisi .walioko vyuoni hawaoni future yao maana wanaona kaka zao na dada zao wanavyohaha mtaani

Kundi hili kubwa litapata nafuu tu litakapomchagua kiongozi sio tu mwenye uchungu na maisha ya watanzania bali pia yeye mwenyewe ni mhanga wa uchumi mbovu uliosababishwa na serikali ya Rais Magufuli.

Hima hima wanavyo, wafanya kazi twende na Lissu Mzalendo wa Kweli.

Upinzani tunajua hakuna kama Lissu kwa muda huu. Tupeni haki yetu kwa kutuletea Mgombea mwenye sifa, uwezo na weledi wa kutuongoza. Kama Mgombea siyo Lissu hatutaki kusikia akina Membe? Nyalandu wala Lipumba. Ni bora tubaki na huyu huyu mvurugaji tutamzoea hivyo hivyo.

Asalam aleykum.
WATANZANIA WENYE ELIMU YA ZAIDI YA FORM IV TANGU UHURU MPAKA LEO, HII INACHANG'ANYA NA WALIO KUFA NI 912,300, SASA HAWA MILIONI 16.7 TUNAWATOA WAPI ?
 
wasomi wa vyuo ni jipu!
hawajitokezi kupiga kura ndo tatizo lao
lakini wanategemea mabadiliko ,sijui yatoke wapi
Inaonekana wewe hufuatilii mambo, 2015 Vyuo vilifungwa ili wanafunzi waende makwao ili hali walijiandikisha maeneo ya vyuo vyao!!
Kusema hawapigi kura ni kuwaonea bure!!
 
Mimi nasubiri kipindi cha kampeni niwasikie ccm wanaposema "tumetoa ajira za kutosha kwa vijana"😂😂
 
Hakika mambo yanazidi kunoga. Wakati uko upande wa Lissu. Namba pia ziko upande wake. Lissu amejipambanua kuwa mkombozi wa Wanavyuo vikuu, waliomaliza vyuo vikuu na wafanya kazi kwani anania ya dhati ya kuwakomboa makundi haya muhimu ktk taifa letu.

Akitangaza nia ya kugombea Kiti cha urais mwanzoni mwa July 2020 kupitia bendera ya upinzani ameeleza kuwa anatambua maumivu, mateso, umasikini na kero zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano. Taarifa zinaonesha kitakwimu kuanzia 2000 hadi 2018 zaidi ya wanafunzi 16.7M wamemaliza vyuo. Hawa ni kundi la wanamabadiliko. Wanaounga mkono sera za maendeleo wanaopenda uhuru na siasa safi.

1. Serikali imeamua kuwanyonga na kuwakamu mpaka damu graduates ( waliomaliza vyuo vikuu) kwa kutunga sheria mbovu za makato ya mikopo asilimia 15 kinyume cha sheria iliyokuwepo kwenye mkataba cha asilimia 8 tu. Hali hii iliyotetewa na wabunge wa CCM huku bunge likiwa gizani imeleta umaskini badala ya kuboresha maisha ya wahitimu hawa mara wanapoajiriwa au kujiajiri badala ya kuleta nafuu.

Imefika mahali mwajiriwa anaona bora asipate ajira afanye udalali au hata umachinga tu.

Mfano ni kijana mmoja nimekutana naye kwenye ofsi za bodi ya mikopo aliyesomea nchini China. Baada ya kupata ajira mshahara wake yaani gross salary ni 1.2M baada ya makato ya kodi za kikoloni na 15% ya Bodi ya mikopo anabakiwa tu na laki sita. Hali ni tete

2. swala la ajira limekuwa mtihani mkubwa na sintofahamu. Waliomaliza wanasugua visigino huku hakuna taasisi inayotoa mikopo nafuu ili wajiajiri kirahisi .walioko vyuoni hawaoni future yao maana wanaona kaka zao na dada zao wanavyohaha mtaani

Kundi hili kubwa litapata nafuu tu litakapomchagua kiongozi sio tu mwenye uchungu na maisha ya watanzania bali pia yeye mwenyewe ni mhanga wa uchumi mbovu uliosababishwa na serikali ya Rais Magufuli.

Hima hima wanavyo, wafanya kazi twende na Lissu Mzalendo wa Kweli.

Upinzani tunajua hakuna kama Lissu kwa muda huu. Tupeni haki yetu kwa kutuletea Mgombea mwenye sifa, uwezo na weledi wa kutuongoza. Kama Mgombea siyo Lissu hatutaki kusikia akina Membe? Nyalandu wala Lipumba. Ni bora tubaki na huyu huyu mvurugaji tutamzoea hivyo hivyo.

Asalam aleykum.

Mkuu. Unaongea sana. Mshindi hapigi Kelele.
 
Back
Top Bottom