Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
Lini bwanaHilo tunalitafutia Mbinu lisije kutuathiri tena.
Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini bwanaHilo tunalitafutia Mbinu lisije kutuathiri tena.
Kama ni hivyo kwanini mnaiba kura? HAKUNA uwezekano wa ccm kushinda popote kwa kura halalilabda kura utampa wewe na rafiki zako lakini wasomi na wenye akili tutampa kura zote JPM haiingii akilini kumpa nchi msaliti wa nchi
Unaushahidi kura kibiwa.Kama ni hivyo kwanini mnaiba kura? HAKUNA uwezekano wa ccm kushinda popote kwa kura halali
Huyo siyo graduate. Propaganda tu hizoMkuu usiwasemee graduates wenzako jisemee wewe kama wewe,,,mbona mm n graduate lakin nipo kinyume nawewe
Mwenye macho haambiwi tazamaUnaushahidi kura kibiwa.
UDOM, uchaguzi tu wa Bavicha mlipeleka hadi mapolisi. Unataka wakuimbie wazi wazi ??
Subiri utaona.
Sasa tuanze kutafuta namba ya shujaa Lissu kurudi nyumbani manake anajulikana kuwa ni tishio na mbinu chafu zinaendelea za kufifisha matazamio ya watanzania kwa kumkamata au kumwekea Lissu zuio la kugombea.Hakika mambo yanazidi kunoga. Wakati uko upande wa Lissu. Namba pia ziko upande wake. Lissu amejipambanua kuwa mkombozi wa Wanavyuo vikuu, waliomaliza vyuo vikuu na wafanya kazi kwani anania ya dhati ya kuwakomboa makundi haya muhimu ktk taifa letu.
Akitangaza nia ya kugombea Kiti cha urais mwanzoni mwa July 2020 kupitia bendera ya upinzani ameeleza kuwa anatambua maumivu, mateso, umasikini na kero zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano. Taarifa zinaonesha kitakwimu kuanzia 2000 hadi 2018 zaidi ya wanafunzi 16.7M wamemaliza vyuo. Hawa ni kundi la wanamabadiliko. Wanaounga mkono sera za maendeleo wanaopenda uhuru na siasa safi.
1. Serikali imeamua kuwanyonga na kuwakamu mpaka damu graduates ( waliomaliza vyuo vikuu) kwa kutunga sheria mbovu za makato ya mikopo asilimia 15 kinyume cha sheria iliyokuwepo kwenye mkataba cha asilimia 8 tu. Hali hii iliyotetewa na wabunge wa CCM huku bunge likiwa gizani imeleta umaskini badala ya kuboresha maisha ya wahitimu hawa mara wanapoajiriwa au kujiajiri badala ya kuleta nafuu.
Imefika mahali mwajiriwa anaona bora asipate ajira afanye udalali au hata umachinga tu.
Mfano ni kijana mmoja nimekutana naye kwenye ofsi za bodi ya mikopo aliyesomea nchini China. Baada ya kupata ajira mshahara wake yaani gross salary ni 1.2M baada ya makato ya kodi za kikoloni na 15% ya Bodi ya mikopo anabakiwa tu na laki sita. Hali ni tete
2. swala la ajira limekuwa mtihani mkubwa na sintofahamu. Waliomaliza wanasugua visigino huku hakuna taasisi inayotoa mikopo nafuu ili wajiajiri kirahisi .walioko vyuoni hawaoni future yao maana wanaona kaka zao na dada zao wanavyohaha mtaani
Kundi hili kubwa litapata nafuu tu litakapomchagua kiongozi sio tu mwenye uchungu na maisha ya watanzania bali pia yeye mwenyewe ni mhanga wa uchumi mbovu uliosababishwa na serikali ya Rais Magufuli.
Hima hima wanavyo, wafanya kazi twende na Lissu Mzalendo wa Kweli.
Upinzani tunajua hakuna kama Lissu kwa muda huu. Tupeni haki yetu kwa kutuletea Mgombea mwenye sifa, uwezo na weledi wa kutuongoza. Kama Mgombea siyo Lissu hatutaki kusikia akina Membe? Nyalandu wala Lipumba. Ni bora tubaki na huyu huyu mvurugaji tutamzoea hivyo hivyo.
Asalam aleykum.
Ndoto za watanzania kumpta Rais Bora haziwezi kuzuiwa na mhuni mmoja tuSasa tuanze kutafuta namba ya shujaa Lissu kurudi nyumbani manake anajulikana kuwa ni tishio na mbinu chafu zinaendelea za kufifisha matazamio ya watanzania kwa kumkamata au kumwekea Lissu zuio la kugombea.
Ukiona wapi thihitisha kwa picha na video. Vinginevyo itakuwa porojo tu.mbna arusha kukiwa na mikutano ya akina lema polisi wanakuja vizuri tu na mkutano wenyewe unakua watu hawa 100 hawafiki, kwan askari kuja ndo kithibitisho?
Hawawezi kushinda hata kwa asilimia 30Kama ni hivyo kwanini mnaiba kura? HAKUNA uwezekano wa ccm kushinda popote kwa kura halali
Wewe una akili mjinga ni wewe unaewaita wengine wajingahuwa nashangaa sana napoona mtu kama wewe unajiita mwenye akili na msomi afu unaongea kitu cha kijinga namna hii
Ndio maana unamuona Lissu katulia kama hayupo vile.Mkuu. Unaongea sana. Mshindi hapigi Kelele.
Eeh! zinapigwa na maroboti sio watu.Kura za Twitter , Instagram na Facebook.
Hahaa na vijana tupo kila kona tutawaumbua watwambie wameajiri akina nani na wapiMimi nasubiri kipindi cha kampeni niwasikie ccm wanaposema "tumetoa ajira za kutosha kwa vijana"😂😂
Uko sahihiInaonekana wewe hufuatilii mambo, 2015 Vyuo vilifungwa ili wanafunzi waende makwao ili hali walijiandikisha maeneo ya vyuo vyao!!
Kusema hawapigi kura ni kuwaonea bure!!
Aje tuone kama atafika kura hata nusa za Lowassa 2015. Watanzania wengi hatujui siasa za Tanzania. Naamini Tundu anajua kujenga hoja vizuri lakajui akiwa Rais wa Tanzania atafanya chenye manufaa na Cheng kumgusa mtanzania wa kawaida zaidi utasikia CCM no dude tulitoe madarakaniMsaliti ni lugha na propaganda za Lumumba sio za wananchi. Nazo zimeshafeli kitambo sio nyimbo tena.
Utakapo kurupuka Toka usingizini ujikute kumbe ulikuwa ukiota kwa makele ukiwa umepanda daladala utanitaarifu!Hakika mambo yanazidi kunoga. Wakati uko upande wa Lissu. Namba pia ziko upande wake. Lissu amejipambanua kuwa mkombozi wa Wanavyuo vikuu, waliomaliza vyuo vikuu na wafanya kazi kwani anania ya dhati ya kuwakomboa makundi haya muhimu ktk taifa letu.
Akitangaza nia ya kugombea Kiti cha urais mwanzoni mwa July 2020 kupitia bendera ya upinzani ameeleza kuwa anatambua maumivu, mateso, umasikini na kero zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano. Taarifa zinaonesha kitakwimu kuanzia 2000 hadi 2018 zaidi ya wanafunzi 16.7M wamemaliza vyuo. Hawa ni kundi la wanamabadiliko. Wanaounga mkono sera za maendeleo wanaopenda uhuru na siasa safi.
1. Serikali imeamua kuwanyonga na kuwakamu mpaka damu graduates ( waliomaliza vyuo vikuu) kwa kutunga sheria mbovu za makato ya mikopo asilimia 15 kinyume cha sheria iliyokuwepo kwenye mkataba cha asilimia 8 tu. Hali hii iliyotetewa na wabunge wa CCM huku bunge likiwa gizani imeleta umaskini badala ya kuboresha maisha ya wahitimu hawa mara wanapoajiriwa au kujiajiri badala ya kuleta nafuu.
Imefika mahali mwajiriwa anaona bora asipate ajira afanye udalali au hata umachinga tu.
Mfano ni kijana mmoja nimekutana naye kwenye ofsi za bodi ya mikopo aliyesomea nchini China. Baada ya kupata ajira mshahara wake yaani gross salary ni 1.2M baada ya makato ya kodi za kikoloni na 15% ya Bodi ya mikopo anabakiwa tu na laki sita. Hali ni tete
2. swala la ajira limekuwa mtihani mkubwa na sintofahamu. Waliomaliza wanasugua visigino huku hakuna taasisi inayotoa mikopo nafuu ili wajiajiri kirahisi .walioko vyuoni hawaoni future yao maana wanaona kaka zao na dada zao wanavyohaha mtaani
Kundi hili kubwa litapata nafuu tu litakapomchagua kiongozi sio tu mwenye uchungu na maisha ya watanzania bali pia yeye mwenyewe ni mhanga wa uchumi mbovu uliosababishwa na serikali ya Rais Magufuli.
Hima hima wanavyo, wafanya kazi twende na Lissu Mzalendo wa Kweli.
Upinzani tunajua hakuna kama Lissu kwa muda huu. Tupeni haki yetu kwa kutuletea Mgombea mwenye sifa, uwezo na weledi wa kutuongoza. Kama Mgombea siyo Lissu hatutaki kusikia akina Membe? Nyalandu wala Lipumba. Ni bora tubaki na huyu huyu mvurugaji tutamzoea hivyo hivyo.
Asalam aleykum.
Hakika mambo yanazidi kunoga. Wakati uko upande wa Lissu. Namba pia ziko upande wake. Lissu amejipambanua kuwa mkombozi wa Wanavyuo vikuu, waliomaliza vyuo vikuu na wafanya kazi kwani anania ya dhati ya kuwakomboa makundi haya muhimu ktk taifa letu.
Akitangaza nia ya kugombea Kiti cha urais mwanzoni mwa July 2020 kupitia bendera ya upinzani ameeleza kuwa anatambua maumivu, mateso, umasikini na kero zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano. Taarifa zinaonesha kitakwimu kuanzia 2000 hadi 2018 zaidi ya wanafunzi 16.7M wamemaliza vyuo. Hawa ni kundi la wanamabadiliko. Wanaounga mkono sera za maendeleo wanaopenda uhuru na siasa safi.
1. Serikali imeamua kuwanyonga na kuwakamu mpaka damu graduates ( waliomaliza vyuo vikuu) kwa kutunga sheria mbovu za makato ya mikopo asilimia 15 kinyume cha sheria iliyokuwepo kwenye mkataba cha asilimia 8 tu. Hali hii iliyotetewa na wabunge wa CCM huku bunge likiwa gizani imeleta umaskini badala ya kuboresha maisha ya wahitimu hawa mara wanapoajiriwa au kujiajiri badala ya kuleta nafuu.
Imefika mahali mwajiriwa anaona bora asipate ajira afanye udalali au hata umachinga tu.
Mfano ni kijana mmoja nimekutana naye kwenye ofsi za bodi ya mikopo aliyesomea nchini China. Baada ya kupata ajira mshahara wake yaani gross salary ni 1.2M baada ya makato ya kodi za kikoloni na 15% ya Bodi ya mikopo anabakiwa tu na laki sita. Hali ni tete
2. swala la ajira limekuwa mtihani mkubwa na sintofahamu. Waliomaliza wanasugua visigino huku hakuna taasisi inayotoa mikopo nafuu ili wajiajiri kirahisi .walioko vyuoni hawaoni future yao maana wanaona kaka zao na dada zao wanavyohaha mtaani
Kundi hili kubwa litapata nafuu tu litakapomchagua kiongozi sio tu mwenye uchungu na maisha ya watanzania bali pia yeye mwenyewe ni mhanga wa uchumi mbovu uliosababishwa na serikali ya Rais Magufuli.
Hima hima wanavyo, wafanya kazi twende na Lissu Mzalendo wa Kweli.
Upinzani tunajua hakuna kama Lissu kwa muda huu. Tupeni haki yetu kwa kutuletea Mgombea mwenye sifa, uwezo na weledi wa kutuongoza. Kama Mgombea siyo Lissu hatutaki kusikia akina Membe? Nyalandu wala Lipumba. Ni bora tubaki na huyu huyu mvurugaji tutamzoea hivyo hivyo.
Asalam aleykum.