Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kujizolea zaidi ya kura milioni 16.7, ni za wanavyuo vikuu, graduates na wafanya kazi

Kama ni hivyo kwanini mnaiba kura? HAKUNA uwezekano wa ccm kushinda popote kwa kura halali
Lete ushahidi mlishinda wapi na mkaibiwa kura, kipindi kile cha akina Mrema au Dr. Slaa upinzani ulikuwa na nguvu zaidi ya mnavyofikiria eti Tundu Lissu ana nguvu kuzidi ile aliyokuwnayo Mrema au Dr Slaa wa kipindi kile? Tunadanganywa upinzani wa Tanzania in CCM B, ndomaana Leo wapo wengi wamerudi na utasikia wamenunuliwa
 
Ukiona wapi thihitisha kwa picha na video. Vinginevyo itakuwa porojo tu.

sina uthibitisho ambao ni picha ila ni vitu mpaka kue na mikutano tena nkuonyeshe, ni kitu cha kawaida sana hata watu 100 naonaga ni wengi maaana ni kama watu hwana ham na saisa tena sjui
 
sina uthibitisho ambao ni picha ila ni vitu mpaka kue na mikutano tena nkuonyeshe, ni kitu cha kawaida sana hata watu 100 naonaga ni wengi maaana ni kama watu hwana ham na saisa tena sjui
Hawana hamu na siasa au wanaogopa mabomu na mapoliccm?
 
safi kabisa, akipata 16.7m, ambazo hazijawahi kufikiwa na mtu yeyote, tutampa JPM, yeye atapewa za JPM.Na mshindi tutampa JPM. Simple

tafuta ugali na familia yako ujinga huu sio wa responsible woman
Waberoyaaaaaa!! Upokaka. Naona hukoKigamboni mmepigwa Finger
 
Hawana hamu na siasa au wanaogopa mabomu na mapoliccm?

ivi ulishawahi kuona sehem magufuli akihudhuria kunavojaaa wewe? mm nawaonea huruma tu maaana sielewi mna nia gan mpaka saaahv mgombea wenu yenyewe hatumjui vyama vyote vingine vishaweka mgombea watu washamaliza topic kitambo wanajipanga kwa wananchi nyie hata hatujui mgombea wenu ni nan hatuoni ata basi kama mna mpango wa kuungana yaani kwa kifupi hatuelewi uwepo wenu tunaona tu wanachama wenu wanakimbia bure
 

Mkuu, mbona unamwamsha aliyelala?
 
Kuna jaa wapi mashabiki wa kuzolewa na magari. Wakuu wa wilaya na wakurugenzi wanaamua kuahirisha shughuli za nchi na Rais wanalazimisha watumishi wahudhurie na wanafunzi
 
Keep cool, things are not as under control as you want them to be. Waliompiga Lissu risasi ni wale wale waliomuua Chacha au hujui hilo?

Tena ni kwa mashindano haya haya ya kugombea vyeo na nafasi za madaraka ndani ya CHADEMA au hujui hilo pia? Hujasikia kuhusu DHAMANA ya Lissu na wale waliomdhamini au unasema tu kujifurahisha?
 
Atapata kura ngapi kwenye maoni ndani ya Chadema? tuanzie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…