Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

Vyombo vya habari havitangazi hoja zao vinachagua negatives tu ndiyo vinatangaza.
 
Wajinga ndiyo waliwao.

Chadomo hawana sera wao wana porojo, kubwabwaja na kuhororoja bila mpango tu.

Hapo hakuna zaidi ya ufataani tu.
Ajuza wa jumba jeupe ndio pekee mwenye akili kwenu nyie.
 
Duuh
 
Upo sahihi. Hao waagizaji ndio wanaharibu kila kitu. Kuanzia ngano, mbolea, mafuta, mafuta ya kula, sabuni, sukari, mchele, madawa ya binadamu, nguo, vitenge e.t.c.


Uzalishaji wa viwanda vya ndani bado una safari ndefu.
 
Ajuza wa jumba jeupe ndio pekee mwenye akili kwenu nyie.
Chama cheye sera zinazoeleweka ni CCM pekee, ndicho kinachoongoza nchi.

Hivi wananchi wenye akili zao waichaguwe chadomo kwa lipi zaidi? Sera yao nini zaidi ya majungu?
 
Wewe ndiye Tundu Lissu? Hapana. Bali wewe ni mfuasi wa yule hayati aliyetaka kumuua Tundu Lissu. Ila Mungu alivyo wa ajabu akafa yeye kabla ya Tundu Lissu. Crimea kaa mbali na mambo ya Lissu
 
Vilaza Mmeshapanik ....huyo haongeagi bila data hiyo KITU tunasemaga TAYARI!!

Stay tuned...hawako Bungeni ila Wako kwenye BUNGE LA WANANCHI
Anasubiri nini sasa kutaja? Au mpaka mabasha wake wa Brusssels wamruhusu?
 
Tundu Lissu atabali kila aina ya mipasho, Mzanzibari hajibu yule.

Mama Samia hapapariki kama mwendazake, yeye kimya tu. anaamini vitendo ndiyo vinatowa majibu.
 
Chama cheye sera zinazoeleweka ni CCM pekee, ndicho kinachoongoza nchi.

Hivi wananchi wenye akili zao waichaguwe chadomo kwa lipi zaidi? Sera yao nini zaidi ya majungu?
Majungu anayapika Bashite, eti ajuza ndiye anamtegemea kwenye ufitinishaji.
 
Tundu Lissu atabali kila aina ya mipasho, Mzanzibari hajibu yule.

Mama Samia hapapariki kama mwendazake, yeye kimya tu. anaamini vitendo ndiyo vinatowa majibu.
Tunajua kuwa mzanzibari, Sasa anawashwa na nini kuwafukuza wamasai nyumbani kwao!? Ili awakabidhi wajomba zake waarabu au!?
 
Lissu anaanza kuvaa vema viatu vya Dr. SLAA na Magufuli kwa mbaaaali sasa naanza kuona Lissu Mpya
Jiwe hakuwa mpenda demokrasia,
Pia kumbuka ya CAG Assad
 
Nini kinafanya hoja za wapinzani zisitikise nchi? Watu wameshawazoea kwamba ni wa hivyo hivyo tu?
Main stream media hazitangazi zinachagua vile negative tu.

Hata wenyewe CDM wanatatizo kubwa sana kwenye kusambaza taarifa zao.

Mikutano inaendelea nchi nzima lakini wao kwenye social media zao hawaziweki taarifa kwa wakati wanasubiri nyomi tu.

Nadhani CDM wanaupungufu wa strategists kwenye chama ndiyo maana wanafanya siasa kwa survival mode tu.

Kuna haja kubwa ya wao kubadilika ili wananchi wapate taarifa zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…