Tundu Lissu kurejea Nchini January 25, 2023

Mwambie asitudharau kama anavyowadharau nyie KUPE WA CHADEMA yaani leo 14/01/2022 sisi wote hatujandika chochote kwenye hizo kura 365 za mwaka 2023?
 
Nitakuwa najibizana na taahira aliyeathiriwa na ushoga. Ni wapi nimemtaja lisu kwenye maandishi yangu?

Au ndiye basha wako!
Hahahaha, JF siku hizi imejaza mapunga kama wewe, waropokaji without ushahidi, FK you, hahahahaha
 
Jamaa ana mikwara sana

Eti nitakanyaga Udongo...tehe tehe.
 
Chadema ni chama wachaga wanamtumia tu Lissu kutafuta madaraka.

Uzuri watanzania wote wamestuka kasoro wanyaki na watu wa tarime ndio wanashobokea sana hao wachaga.
Wewe jamaa ni mkabila, na nakuapia ukabila hukaa mioyoni mwa majitu majinga majinga narudia majinga na sio mapumbavu. Mungu ibariki Tanzania!!
 
Lissu kurudi ni jambo jema lakini sio kubwa Sana maana Tz ni kwao, ni nchi aliyopewa na Mungu wake...

Humanity for Political gain! No way.

Mbona hawaonyeshi utu na matusi ya kaburini kila kukicha na hawakemei?

Kaburi la Hayati Raisi lisitumike kwa namna yeyoye ile na Wanasiasa wabezaji na wanafiki n.k

Hakuna hata mmoja amabye ametoka hadharani kukemea mambo yanaosemwa/ yanayosingiziwa kuhusu Hayati Raisi mengi ni ya Uwongo na yametengenezwa mahususi kudumaza nguvu zilizojengeka za kukataa ukoloni mamboleo.

Kutumiwa kama mpira wa kona, ilimradi tuu hapana.

Tundu Lissu akahutubie anao wahutubia. Mama Janeth asikubali hata CCM(anawajua ni wepi)na Viongozi wake kwenda huko na kujikomba mbele yake, ni wanafiki, wakitoka huko, na kugeuza mgongo wanaanza kumbeza mmewe, wanarusha vijembe hasi juu ya Hayati Raisi. Wakijuwa fika ni ya uwongo.

Amani ikulinde
 
Afya ya mama Janeth yenyewe ni ya mtu aliyetua mzigo! Yale mangumi mpaka mama wa watu analazwa JakYA hatosahau
 
Karibu nyumbani mtanzania mwenzetu, Mwenyezi Mungu akatangulize watanzania wake wakulinde na yeyote atakayejaribu tena kukudhuru akapigwe pigo takatifu
 

Atarudi mwenyewe au na mkewe na watoto
 
Ni ushauri tu

Makamu Mwenyekiti wa Chadema aliyejeruhiwa kwa Risasi na Wavamizi nyumbani Kwake akiwa anatokea bungeni mh Tundu Antipas Lissu atawasili siku ya Jumatano 25/01/2023 saa 13:35 mchana

Ni vema Watanzania bila kujali itikadi wakapewa fursa ya kwenda kumpokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…