Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

Kwa mfano ndio akashiriki alafu ndio akasema kuwaaambia mambo hayajaenda kama walivyotaka, then ndio iwe nini?
Jiwe atakuja kuzimiwa hiyo pacemaker iliyowekwa kwenye moyo wake na hao anaowaita mabeberu.
 
Bado 2najadili ya mdee we ushaanza ya mkimbizi Lissu?

Mwambie huyo Mdee ndie habari ya mjini kwa sasa

CHADEMA BAWACHA ndio ilibaki nguzo pekee ya CHADEMA ya kuaminiwa.

CHADEMA waliisifu sana BAWACHA kuwa eti wabunge na madiwani wote eti kwa kile kinachoitwa kununuliwa wabunge na madiwani walikuwa ni wanaume tu wanawake wa BAWACHA hawakukubali.

Msimamo huo ulisababisha wabunge wanawake wawekwe wengi kwenye majimbo kuliko wanaume na ikapata baraka ya kamati kuu ikituhumu kuwa mianaume mingi inauzika inafika bei!

Sasa hilo limetokea yuko mbunge Aida KHATAN na wabunge viti maalumu 19 wote kwa mpigo wameingia bungeni.

CHADEMA wengine wanasema wamenunuliwa wengine wanasema hao wabunge wote 20 ni maafisa kipenyo wa serikali waliokuwa ndani ya CHADEMA!

Ina maana kwa sasa CHADEMA haitawaamini wanawake wala wanaume kwa kuwatuhumu kuwa wananunulika au ni maafisa kipenyo wa serikali! Je wanaonunulika na maafisa kipenyo ndani ya CHADEMA wameisha?

Kwa muktadha huo CHADEMA sasa hivi wahangaike kujenga lichama lao hilo wanalolituhumu wenyewe kuwa limejaa wanaouzika na maafisa kipenyo
 
Ma
Demokrasia ni mfumo mzuri lakini unatiwa ukakasi na mataifa ya magharibi kupenyeza ajenda zao kwa mgongo wa kutetea demokrasia.

Ndio maana uchina ameamua kujiweka mbali na huu mfumo kwa kuwa ndani yake kuna ajenda nyingi za western power. Ulazimishwaji wa demokrasia umeleta mabalaa mengi duniani kuliko faida.
Mabalaa ya demokrasia ni nini ebu dadavua mkuu unatuacha njia panda
 
Lissu alivyokuja hakuja kugombea uraisi alikuja tu kutafuta platform ya kumtukana Magufuli tu.
Alikuwa anamtukana Magufuli au alikuwa anampa makavu laivu ya maovu yake?

Mayanga construction. Magufuli na Mayanga hawajaoa nyumba moja?

Dotto James siyo mtoto wa dadake Magufuli?

Kijijini Chato hapajajengwa international airport?

Hili "dubwana" tumuombee Mungu mwingi wa rehema aliondoe duniani tu. Amen.
 
1606729722320.png

Mh. Tundu Lissu atashiriki mazungumzo ya #IDU2020 ambao ni umoja wa vyama vya kidemocrasia Duniani IDU (INTENATIONAL DEMOCRAT UNION)

On behalf of IDU Chairman the Rt. Hon. Stephen Harper we are pleased to announce that IDU Forum Vienna will take place on April 19-20, 2020.

IDU Forum Vienna will build on the tremendous success of IDU Forum 2019 in Washington, D.C. held in early December. Working with our member, the Austrian People’s Party, we look forward to bringing outstanding networking opportunities, centre-right thought leadership, and best practices for campaigning and governing to Vienna.

More information coming soon! #IDUVienna2020
 
Alikuwa anamtukana Magufuli au alikuwa anampa makavu laivu ya maovu yake?
Mayanga construction. Magufuli na Mayanga hawajaoa nyumba moja?

Dotto James siyo mtoto wa dadake Magufuli?

Kijijini Chato hapajajengwa international airport?

Hili "dubwana" tumuombee Mungu mwingi wa rehema aliondoe duniani tu. Amen.
Alishughulika na mtu badala ya taasisi,Huwezi shika nchi kwa kumporomoshea matusi mtu mmoja!!!!!! hata awe aisi!! Raisi ni mmojawapo tu wa watu lukuki walioko kwenye dola!!!

Lisu hakujiandaa kugombea uraisi ila aliandaa encyclopedia ya matusi ya kuporomoshea Magufuli tu hakuwa na jipya
 
Demokrasia ni mfumo mzuri lakini unatiwa ukakasi na mataifa ya magharibi kupenyeza ajenda zao kwa mgongo wa kutetea demokrasia.

Ndio maana uchina ameamua kujiweka mbali na huu mfumo kwa kuwa ndani yake kuna ajenda nyingi za western power. Ulazimishwaji wa demokrasia umeleta mabalaa mengi duniani kuliko faida.
Hoja yako ni nini? Kwamba tulikuwa na uchaguzi mzuri tu, na utawala wa awamu ya Tano hauvunji haki za binadamu, ila mataifa ya magharibi yanatulazimisha ajenda zao?!
 
Nilivyoelewa ni kuwa IDU 2020 Vienna, iliyo kuwa ifanyike, April 2020, iliaihirishwa kutoka kama na Covid pandemic. Itafanyika sasa na itakua a virtual meeting.
 
Alishughulika na mtu badala ya taasisi,Huwezi shika nchi kwa kumporomoshea matusi mtu mmoja!!!!!! hata awe aisi!! Raisi ni mmojawapo tu wa watu lukuki walioko kwenye dola!!!

Lisu hakujiandaa kugombea uraisi ila aliandaa encyclopedia ya matusi ya kuporomoshea Magufuli tu hakuwa na jipya
Ukimchukia mtu unaweza kuchukia hata na kile anachokizungumza! Wewe unaweza kuwa case study! hivi wewe katika kile alichokuzwa akikizungumza Lissu kwenye kampeni ulisikia matusi gani kutoka kwenye kinywa cha TAL kumwelekea Rais?

Kwa mfumo wa uongozi aliokuja nao Rais wa awamu ya tano, ambao kila kitu anaamua yeye, utashughuliaje na taasisi bila kushughulika naye yeye mwenyewe?! Subiri amalize muda wake (kama muda wake utamalizika) then utaanza kuelewa vizuri kilichokuwa kinazungumzwa na TAL!
 
Demokrasia ni mfumo mzuri lakini unatiwa ukakasi na mataifa ya magharibi kupenyeza ajenda zao kwa mgongo wa kutetea demokrasia.

Ndio maana uchina ameamua kujiweka mbali na huu mfumo kwa kuwa ndani yake kuna ajenda nyingi za western power. Ulazimishwaji wa demokrasia umeleta mabalaa mengi duniani kuliko faida.
Ukishindwa kujiheshimu unaruhusu walio karibu na wewe waingilie mambo yako.
 
Mwambie huyo Mdee ndie habari ya mjini kwa sasa

CHADEMA BAWACHA ndio ilibaki nguzo pekee ya CHADEMA ya kuaminiwa.

CHADEMA waliisifu sana BAWACHA kuwa eti wabunge na madiwani wote eti kwa kile kinachoitwa kununuliwa wabunge na madiwani walikuwa ni wanaume tu wanawake wa BAWACHA hawakukubali.

Msimamo huo ulisababisha wabunge wanawake wawekwe wengi kwenye majimbo kuliko wanaume na ikapata baraka ya kamati kuu ikituhumu kuwa mianaume mingi inauzika inafika bei!

Sasa hilo limetokea yuko mbunge Aida KHATAN na wabunge viti maalumu 19 wote kwa mpigo wameingia bungeni.

CHADEMA wengine wanasema wamenunuliwa wengine wanasema hao wabunge wote 20 ni maafisa kipenyo wa serikali waliokuwa ndani ya CHADEMA!

Ina maana kwa sasa CHADEMA haitawaamini wanawake wala wanaume kwa kuwatuhumu kuwa wananunulika au ni maafisa kipenyo wa serikali! Je wanaonunulika na maafisa kipenyo ndani ya CHADEMA wameisha?

Kwa muktadha huo CHADEMA sasa hivi wahangaike kujenga lichama lao hilo wanalolituhumu wenyewe kuwa limejaa wanaouzika na maafisa kipenyo
Rushwa ya ccm na viongozi wake vinaitafuna nchi taratibu taratibu.
 
Tundu Lissu anaifungua dunia kuhusu mambo yanayoendelea nchini ambayo kwa mwenye macho ya mbali lazima aone consequences zikija mbeleni.Serikali kupambana na Tundu kwa vyovyote ni lazima ipate failures sababu hoja zake ni za msingi na ushahidi wa kuaminika upo hvyo cha msingi ni kukaa nae chini na kujadiliana nae jinsi ya kusonga mbele kama taifa,tofauti na hapo itegemee anguko kubwa mbele ya jumuiya ya kimataifa.

Umeongea point niliwai kushauri hili magufuli angetakiwa atumie njia yoyote huyuu jamaa wawe na maridhiano.

Angetafuta waliompga risasi mashtaka yafungulia na angelaani kile kitendo. Sasa kakaa kimyaa inamaana kabariki HILOO.

ila mwishoo wa siku wanainchi wakawaida ndo tutakaoumia.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia, Taifa limepata rais ambae hata international community inamuona hana chochote cha ku-share na dunia!!

Kagame na udikteta wake wote lakini alikuwa anaalikwa huko duniani kwa sababu watu waliamini ana kitu cha ku-share! The so-called Mabeberu walifahamu pamoja na udikteta wa PK lakini ukimweka mbele atetete anachokiamini, atakitetea in a more intellectual way, kitu ambacho Dikteta Jiwe hawezi!!
Kwahiyo unataka Magu pia aitwe kushiriki hapo?
 
Huyu wa kwetu aalikwe atasema nini? Labda kuwe na mdahalo unaohusu mambo ya kufedhehesha wanawake ndiyo anaweza.
Uliambiwa andamana umtoe ukajificha uvunguni mwa kitanda!

By the way, vipi ulishaanza kupata hamu ya kuwa na wanaume?
 
Back
Top Bottom