simba kula mtu ni habari Ila mtu kula simba ni habari ya kusisimuaNdio maana nasema upinzani hamna akili.
Hivi unatambua wadhifa|nafasi ya kabudi katika nchi hii??
Njoo kwa wakuitwa Tundulissu ana nafasi au wadhifa gani katika hii nchi hii kumfanya afanye kikoa na Mabalozi kama sio kuomba huruma ya mabeberu.
Ahaa aha kwan9i kuna shdaNimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
NDIO MAANA INAITWA POLICE FORCE HIKI KIPENGELE< FORCES >NDICHO KINACHO OPERATESPolisi wetu wanatumika vibaya sana na Utawala wa Magufuli, kuumiza kila mtu.
Bila kujali tofauti ya vya vyetu, October 28,
Tumchagueni Lissu atuponye.
Vinginevyo wote tutajuta.
[emoji16]Huyu Jamaa anaweza Kukufanya 'Utamani' Kusomea 'Sheria' hata kama Wewe tokea 'Utotoni' mwako ulikuwa unatamani uwe 'Mpiga Debe' Stendi.
Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Na Ka mtu kamoja tu kanawatishaHivi mbona mna hasira hivi na Lissu? Mwangalie Sirro, mtazame Magufuli akiwatisha na kuwafokea wapiga kura huko Tunduma
[emoji16]Kama vp wapige mabomu mabalozi
Maendeleo gani unasemea? Nifurahie flyover wakati chakula kwangu mtihani kwa hila zako za kuharibu mahusiano na wawekezaji nikapunguzwa kazini?Mambo mnayoyajua ni "piga spana J.P.M" , "Ni Yeye" "Fisiemu" NEccm" PoliCCM" pekee.
Lakini masuala ya maendeleo hakuna.
Watu hamjui faida ya Usafiri wa anga,kweli??
Daah..Inasikitisha sana.
Hao mabwana unavyowasifia........acha kumeza muvi za miaka ya 80 hukoNakwambia Navy Seal wangekuja kumchukua pale masaki nyumbani kwake
sasa kama hawana lakufanya mbona mnaweweseka?Mabalozi watafanya nini kwa mujibu wa sheria?
Kwani ili uwe waziri inakuwaje?Nani kakudanganya kuwa Prof Kabudi siyo waziri?
Ndugu Mataga, wewe hapo unaogopa nini Lissu kuongea na hao Mabalozi?Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji13][emoji13][emoji13]Yani hawaishi dramaHizi drama za cdm hazijaanza leo. Miaka ya juzi kati wakiturushia tupicha wakiwa wakimbizi ubalozi wa EU na magwanda yao.
Awaelezee vizuri jinsi IGP alivyojiunga CCM na kuwa kada na sasa anaenda kuwa chanzo cha vurugu akishirikiana na mkurugenzi wa Tume isiyo huru ya uchaguziKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======
Kauli hii ishakuwa yeboyebo mjini. Tafuteni jingine. Maana kila term ni hayoThis time CDM wamejipanga kweli kweli.
Kwani Generali wa Irani alishughulikiwa na Marekani miaka ya 80???Hao mabwana unavyowasifia........acha kumeza muvi za miaka ya 80 huko
Kwamba Slaa na Lowasa wakalale kwa Lisu au? Ebu ongeza sauti kdogo labda [emoji41]Bwashe ni kesho naona umepata kiwewe,Lissu si Lowassa atawakimbiza mchaka mchaka hadi vifua vipasuke.
Hivi mboe yupo kweliNdugu Mataga, wewe hapo unaogopa nini Lissu kuongea na hao Mabalozi?
Mwaka huu Watanzania wanaenda kupata uhuru wa kweli na kuimwaga pombe.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Lisu kaja kivingine siyo lazima aige style za wagombea wengine ndiyo maana kaamua aoengee na mabalozi awambie jinsi IGP anavyotaka kuvuruga uchaguzi woteNdugu Mataga, wewe hapo unaogopa nini Lissu kuongea na hao Mabalozi?
Mwaka huu Watanzania wanaenda kupata uhuru wa kweli na kuimwaga pombe.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app