Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

Go TL. Go... You are already presidential. Hii ni kwa wanaozungumza Kiingereza tu. Hao wengine wanahitaji kutafsiriwa! Waendelee tu huko Njombe.
Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.

kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.

Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .

Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF

=======
Tume ya maadili itakayomuhoji ndiio munaita mabalozi?

Acheni fix hata haya Hamna?
 
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).

Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.

Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.

waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Tulia dawa iingie lissu anadunga sindano za punda
 
Haya maneno nimeyasema mimi. Siyo TL. Sasa wewe unamuingizaje hapa TL? Mmeishiwa sera sasa ni kutapatapa tu. Unaujua ukoloni wewe? CCM inapeleka watawala wake kule Zanzibar kila baada ya miaka 10.

Sasa imetoa mmoja Mukuranga na kumpeleka huko Visiwani. Huo ndio ukoloni. Wazanzibar wakishinda uchaguzi matokeo yanafutwa. Ili mradi tu mamluki wenu atawale.
Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.

kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.

Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
 
Kabudi alikuwa na kikao na balozi wa Norway ilikuwa siku gani?
Ndio maana nasema upinzani hamna akili.

Hivi unatambua wadhifa|nafasi ya kabudi katika nchi hii?

Njoo kwa wakuitwa Tundulissu ana nafasi au wadhifa gani katika hii nchi hii kumfanya afanye kikoa na Mabalozi kama sio kuomba huruma ya mabeberu.
 
Wahenga walisema adui yako mfanye rafiki ili asipate nguvu ya kumtetea ukaongeza maadui, na Nyerere siyo mjinga kusema Mrema hata akisukumwa akiwa ndani ya gari muacheni hakuwa mjinga na Mkapa hivyo hiyo na Kikwete hata kwa Lowasa mpaka anadekiwa na barabara yeye yupo kimya so akili zako changanya na hekima.
 
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).

Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.

Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.

waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
The devil you know is better than the Angel you don't know.

IMG_20201001_235329.jpg
IMG_20201001_235319.jpg


Ok usishagae Sana kuongea na mabalozi ni kawaida sana ila kesho Siro utabloo.
 
Wahenga walisema adui yako mfanye rafiki ili asipate nguvu ya kumtetea ukaongeza maadui, na Nyerere siyo mjinga kusema Mrema hata akisukumwa akiwa ndani ya gari muacheni hakuwa mjinga na Mkapa hivyo hiyo na Kikwete hata kwa Lowasa mpaka anadekiwa na barabara yeye yupo kimya so akili zako changanya na hekima.
Umemnukuu hawara ya bibi yako mzaa babu yako nini?
 
Back
Top Bottom