Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Angalia saa yako Ndio utajua ni leo au kesho.Bwashe ni kesho naona umepata kiwewe,Lissu si Lowassa atawakimbiza mchaka mchaka hadi vifua vipasuke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia saa yako Ndio utajua ni leo au kesho.Bwashe ni kesho naona umepata kiwewe,Lissu si Lowassa atawakimbiza mchaka mchaka hadi vifua vipasuke.
Kwanza kabudi anaendelea kuwa waziri wa mambo ya nje kinyume cha Sheria kwani bunge lilishavunjwaKabudi alikuwa na kikao na balozi wa Norway ilikuwa siku gani?
Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.Go TL. Go... You are already presidential. Hii ni kwa wanaozungumza Kiingereza tu. Hao wengine wanahitaji kutafsiriwa! Waendelee tu huko Njombe.
IGP sasa amekuwa kada wa CCMNadhani ni suala la IGP
Tume ya maadili itakayomuhoji ndiio munaita mabalozi?Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======
Mabalozi watafanya nini kwa mujibu wa sheria?Pia ataenda kuwambia kuwa IGP sasa ni Tawi rasmi la CCM kaamua kuwafanyia kampeni ccm bila aibu akisaidiana na mkurugenzi wa Tume isiyo huru ya uchaguzi
Tulia dawa iingie lissu anadunga sindano za pundaHivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Atakuwa bado yuko kilabuni anagonga mbege!Angalia saa yako Ndio utajua ni Leo au kesho
Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.
kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.
Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
Ndio maana nasema upinzani hamna akili.Kabudi alikuwa na kikao na balozi wa Norway ilikuwa siku gani?
Zamani alikuwa kada wa wapi?IGP sasa amekuwa kada wa CCM
Asubuhi sio mbaliLisu muongo anaenda kuhojiwa tume ya maadili Mleta maada na Lisu wako acheni uongo kama ule mliodanganya ohh Lisu atafanya mdahalo mkubwa na Raisi wa Ghana kumbe uongo mtupu
Mleta mada na Lisu MNA pepo la uongo
The devil you know is better than the Angel you don't know.Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Nani kakudanganya kuwa Prof Kabudi siyo waziri?Lisu wambie mabalozi kuwa kabudi siyo waziri kwani bunge lilivujwa rasmi lakini kutwa anakutana na mabalozi mbalimbali
Umemnukuu hawara ya bibi yako mzaa babu yako nini?Wahenga walisema adui yako mfanye rafiki ili asipate nguvu ya kumtetea ukaongeza maadui, na Nyerere siyo mjinga kusema Mrema hata akisukumwa akiwa ndani ya gari muacheni hakuwa mjinga na Mkapa hivyo hiyo na Kikwete hata kwa Lowasa mpaka anadekiwa na barabara yeye yupo kimya so akili zako changanya na hekima.