Helpyourself
Member
- Sep 30, 2017
- 30
- 59
Tundu Lissu atakamatwa.
Tetesi: - Mkakati wa kumkamata Tundu Lissu uko palepale japo tamko la IGP na barua ya kumwita vimevurunda
Tetesi: - Mkakati wa kumkamata Tundu Lissu uko palepale japo tamko la IGP na barua ya kumwita vimevurunda
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======