Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

Ratiba ya Lisu tunayoifahamu ni kutii sheria bila shuruti kwa kuripoti sentoro.

Umeruka maneno matatu pale wala usingebakiza chenji:

"Ratiba ya Lisu tunayoifahamu sisi Mi-CCM ni kwake kutii sheria bila shuruti kwa kuripoti kwetu sentoro."

A = B = C = D

CCM = polisi

Tumesikia, ilikuwa nia yako kutukumbusha ya marehemu Shana.
 
Kabudi wadhifa wake ni uprofesa tu. Hana lolote tatizo tumeichezea katiba yetu vibaya sana. Kwa akili yako ndogo unadhani Kabudi bado ni waziri?!. Halafu sio kila anayekosoa serikali ni mpinzani. Kama utakuwa mtu mzima kama mimi utajua jukumu la serikali ni nini na jukumu la CCM ni nini. Rudi darasani

NJOO DARASANI dogo.

Task:Kasome kuanzia Article 55 - 57 of the constitution of U.R.T,1977 as amended from time to time.

Nitakusaidia kunukuu Ibara ya 58 . "Mawaziri na Naibu mawaziri watashika madaraka yao kwa ridhaa ya raisi...."(aliye madarakani) hii kusema Mawaziri (ukitoa sababu nyingine) hawatakoma kuwa mawaziri kwa sababu ya bunge kuvunjwa pekee bali wataendelea kutekeleza majukumu yao na kula posho/mishahara yao mpaka raisi aliyewateua kuisha muda wake.

N.B J.P.M bado ni Raisi wa Watanzania.

Isitoshe katiba inamruhusu raisi kiteua waziri hata baada ya bunge kuvunjwa.

Hapa ndipo utajua haujui. Sio mbaya tunaelekezana tu.
 
Ni kawaida Rais kukutana mabalozi wa nchi zilizoendelea ili kwanza kuimarisha mahisiano mema na nchi hizo kwa kuleta maendeleo ya wananchi. Pili kukuza na kuimarisha mahusiano ya kibiashara na uchumi. Ni kawaida ya marais.

Rais Tundu Lissu, Go Go una kibali cha Mungu na wanadamu.
 
Jamani Tundu Lissu ana dharau za kiheshima sana. Yaani unaitwa Polisi lakini unaienda kuongea na Mabalozi.

Polisi mjitafakari. Fanyeni kazi kwa weledi acheni kutumwa tumwa.

Sasa Kichwa kinaenda kukutana na vichwa vingine. Sipati picha madini atakayomwaga huyu jamaa.

Naona Ziara zake alizofanya dunia nzima wamemwelewa wanaenda kutia baraka zao.
 
Ndio maana nasema upinzani hamna akili.

Hivi unatambua wadhifa|nafasi ya kabudi katika nchi hii??

Njoo kwa wakuitwa Tundulissu ana nafasi au wadhifa gani katika hii nchi hii kumfanya afanye kikoa na Mabalozi kama sio kuomba huruma ya mabeberu.
Sasa wakienda utawalaumu au hawana akili

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).

Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.

Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.

waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Shida yenu dhulma ipo damuni,kwenu pamoja na mbeleko zenu zote.
 
Hizi drama za cdm hazijaanza leo. Miaka ya juzi kati wakiturushia tupicha wakiwa wakimbizi ubalozi wa EU na magwanda yao.
Safari hii hawataniii best.
Chunga uone.
Kuna mtu atakunywa maji na kibuyu subiri.
 
Kwani mabalozi kawafuata nje ya nchi au wako ndani ya nchi?
 
Weird, unashangaa nini? it is a part of his strategy ! This is the future “would” presiden. acting more presidential

Nyie sijui mnatoka vijiji gani, ujio wa magufuli umeleta kila washamba
 
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).

Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.

Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.

waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Mnamwongezea kura za huruma tl kwa mnayomfanyia. Binadam tuna kawaida ya kumfariji anayeonewa.
 
Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.

kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.

Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
China wanasoma kiingereza kwa kasi, unadhani ni wajinga?

Hakuna nchi duniani kwasasa ambayo haijajisalimisha kwa kingereza. Jiupdate mkuu.
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania.

Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF

=======
Tupo masikio na macho tunasubiri

Muondoeni binamunga sijui binamungu (huyu ubavu wa msando huyu mmmh- nawaza tu)
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hv China wanatumia lugha ipi ktk shule zao we zumbukuku????
Haha..(sorry kwa kukukwaza na infriority yangu ni typing error tu.)

Umekuja na Jambo jipya eti " Kuongea kingereza ni dalili ya jinsi ulivyoelimika". hii ni hatari!!

Hii kusema kutojua kingereza ni dalili ya kuto elimika.

Sijui ni kutajie Icon(watu wanaoonekana kutumia akili zao kuisadia dunia kwa vitu mbali mbali) wa dunia lakini hawajui kingereza.

Njoo China, angalia baadhi ya makocha wakubwa n.k

Umeanza kuchanganyikiwa kijana eenh.
 
Back
Top Bottom