This time CDM wamejipanga kweli kweli.
Ndio maana yeye Ana tumia kisukuma hata PhD yake pia kisukuma !!! Hoja dhaifu ....sanaaaaHv China wanatumia lugha ipi ktk shule zao we zumbukuku????
Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Kwani hawa manalozi wako ndani au nje ya nchi!??Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ndio mjinga zaidi, uchaguzi sio suala la ndani ya nchi tu, ni suala la kimataifa, ndio maana kunakuwa na waangalizi wa kimataifa. Pia ujue dunia imekuwa kitu kimoja na hata uchaguzi wa Marekani unatuhusu kwani tuna maslahi yetu huko.Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.
kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.
Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
Mnukuu Ujijue ulivyo MjingaHapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.
kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.
Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
Ndio maana nasema upinzani hamna akili.
Hivi unatambua wadhifa|nafasi ya kabudi katika nchi hii??
Njoo kwa wakuitwa Tundulissu ana nafasi au wadhifa gani katika hii nchi hii kumfanya afanye kikoa na Mabalozi kama sio kuomba huruma ya mabeberu.
Nilichosema sio sera ya Chama chochote cha kisiasa au ushirika.
Lakini Tatizo lako unaugonjwa wa infriority wa kuona Lugha nyingine ni bora kuliko lugha yako.
Hii tosha hamna cha kumsifia T.L mpaka mnafika mambo ya Lugha.
Muendelee kujipendekeza kwa mabeberu.
Ni kweli waamuzi ni cc wananchi,lakini lazima yawepo mazingira ya kutufanya tuamue tunavyotaka cc na sio kulazimishwa kumchagua tusiyemtakaHivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Aende kuripoti kwanza kwa RPC Kilimanjaro au Central police MOSHI kwa OCSKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======
Tutamfuata kwa ndoano asilete ujuaji juaji
Na nyinyi ongeani nawo.Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Na wewe umuongo na jiwe wako.Lisu muongo anaenda kuhojiwa tume ya maadili Mleta maada na Lisu wako acheni uongo kama ule mliodanganya ohh Lisu atafanya mdahalo mkubwa na Raisi wa Ghana kumbe uongo mtupu
Mleta mada na Lisu MNA pepo LA uongo
Muda WA tume ya maadili tumeshaupuuza haukuwa na sheria ya kuita. Sasa zilizobakia kwako ni kujilalamikia kama demu.Tume ya maadili itakayomuhoji ndiio munaita mabalozi?
Acheni fix hata haya Hamna?
Niseme wazi!! Nimezipenda kampeni za Tundu Lissu, nimependa Timu yake ya kampeni inavyofanya kazi . Ni full ma akili na Stratergies tu!Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======
This time CDM wamejipanga kweli kweli.
Umemaliza std seven?Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.