Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Haendi na hamna la kumfanyaAende kuripoti kwanza kwa RPC Kilimanjaro au Central police MOSHI kwa OCS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haendi na hamna la kumfanyaAende kuripoti kwanza kwa RPC Kilimanjaro au Central police MOSHI kwa OCS
Kuongea na wana diplomasia ni kawaida na hali ya kujiongeza kutafuta support kama mzee wetu walivyofanya na Museveni na yule wa Burundi alikuja kupiga kampeni Kigoma. Simba walienda Cairo kuongeza ushirikiano na Alhly and Zamalek lakini sisi tunacheza ligi ya Voda....Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Polepole nae ana kutana na waandishi wa habari.Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Tundu Lissu kama mgombea ana Sera yake ya mambo ya nje. Chama chake kwenye ilani yao wameweka pia Sera yao ya mambo ya nje!!Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Tutarudi hapa baada ya tarehe 28Bwashe ni kesho naona umepata kiwewe,Lissu si Lowassa atawakimbiza mchaka mchaka hadi vifua vipasuke.
Mkuu, Tunajua faida ya usafiri wa anga kuliko wewe. Ujio wa ndege zenu imekuwa gharama zaidi kwa mwananchi.Mambo mnayoyajua ni "piga spana J.P.M" , "Ni Yeye" "Fisiemu" NEccm" PoliCCM" pekee.
Lakini masuala ya maendeleo hakuna.
Watu hamjui faida ya Usafiri wa anga,kweli??
Daah..Inasikitisha sana.
Hahhahaha kwamba wewe ndo umeongea kiingereza?Go TL. Go... You are already presidential. Hii ni kwa wanaozungumza Kiingereza tu. Hao wengine wanahitaji kutafsiriwa! Waendelee tu huko Njombe.
Tutamfuata kwa ndoano asilete ujuaji juaji
Comment kama hii wafuasi wa CDM hua wanavaa miwani ya mbao huwezi kuona reply yao💪Hizi drama za cdm hazijaanza leo. Miaka ya juzi kati wakiturushia tupicha wakiwa wakimbizi ubalozi wa EU na magwanda yao.
Tume na polisi wapo kutekeleza majukumu yao.
2.Polisi wapo kuhakikisha amani na usalama unadumishwa katika nchi hii
so,Mtu yeyote wa chama chechote atapoonekana anaenda kuivunja amani ya nchi kwa njia ya uchochezi,matusi,ushawishi na mengine yanayoendana na hayo lazima awe responsible pia hata kama wanasema siasa inahitaji kifua/uvumilivu wa hali ya juu.
N.B Kuijua|kusoma sheria kamwe kusikufanye ujione upo juu ya sheria.
Kumbe kikao cha warundi na meko kilikuwa sahihi[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
policcm wanaweza mzuia na kumkamataKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======
Mfano Sasa:Mbona mnaweweseka tulieni dawa iwaingie
Tundu wanyooshe tu fisi hawa
[SUP]Lisu naona yupo tofauti sana na wapinzani wengine, huu uchanguzi sijui utakuaje[/SUP]Hizi drama za cdm hazijaanza leo. Miaka ya juzi kati wakiturushia tupicha wakiwa wakimbizi ubalozi wa EU na magwanda yao.
Utaelewaje na wewe akili yako iko kwenye kibuyu hapo Lumumba umebakishiwa fuvu tu.Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani kuna Sheria au pongamizi la kuongea na mabalozi wakati wa kampeni.Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Unatia huruma sana.Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Bila hao mabalozi unadhani utapewa mkopo kutoka nchi zao kwa kununulia dawa na kuongezea budget yenu?Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.