Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Tabata Segerea, ni katika Mkutano mkubwa wa kampeni za Urais za CHADEMA

Hana sera
Hana hoja

Mpaka sasa anabumbuwazi haya aliyoyakuta yaliwezekanaje?

Hoja za kuombea kura ni kujielwza una mipango gani na siyo kubeza ufanisi wa mpinzani wako
 
Segerea pamedoda 😂😂😂
Sasa hii Dsm tu anapata watu 100 akienda mikoani huko anaweza ambulia watu 10 tu wa msafara wake 🤣.
Vipi, mabakuli leo hayajapita?
 
Wewe ni Mwanachadema mpumbavu na ngumbaru mkubwa

L
 

Unatuambia nini kuhusu ile Boat maarufu iliyoishia kufichwa sehem ili isiongelewe ongelewe? Mnasau zile ni pesa za wananchi.
 
Wewe ni Mwanachadema mpumbavu na ngumbaru mkubwa

L
Ndugu yangu acha kunifananisha na wanasaccos mbumbumbu mimi...! Mimi ni mweelewa wa mambo kwa kiasi kikubwa sana achana na mimi.
 
Hizo hoja tumeshasikia tangu zamani sana!

Alete vitu vipya!
 
Mkuu better remain silence than showing your idiotness here

Hapa tunatetea chama sio sehemu ya mipasho na taarabu

Huyo ameongea jukwaani anapaswa kujibiwa

Wewe ni ccm njaa nini,Fanya kazi kukisaidia chama sio chama kikusaidie wewe
You better write in Swahili you ass!! You know nothing about CCM and you are among the ass at Ufipa street!
 
Matapeli ninyi Moshi Godbless Lema anasema Leo Lisu anatikisa Arusha mjini viwanja vya unga LTD atajigawaje Wakati Mkutano muda Ni ule tusaidie mleta mada
Chadema mumebobea kwenye uongo
Naona ulivyo changanyikiwa hadi unatukana tu watu kisa ni wana cdm. Tulia sindano ikuingie vyema kusudi upone kichaa chako.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…