Uraya (Ulaya) Panogile mkuuHawa jamaa kila siku wanaahidi kurejea tu na hawarejei. Inaelekea wameshanogewa na Maisha ya Ughaibuni hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uraya (Ulaya) Panogile mkuuHawa jamaa kila siku wanaahidi kurejea tu na hawarejei. Inaelekea wameshanogewa na Maisha ya Ughaibuni hawa
CCM imetufanya turudi kuishi maisha ya miaka ya 70, mwaka 2022 nakosa umeme kwa masaa 12 kweli? unajua uvumilivu ukizidi sana inakuwa ni ujinga.Tafuta hela ununue jenereta na uchimbe kisima hapo kwako.
Maji shida,umeme shida we na Lissu, mwenzio yuko ulaya anakula maisha watoto wanasoma shule bora
Naunga mkono hoja umeme ni anasa awamu ya 6.CCM imetufanya turudi kuishi maisha ya miaka ya 70, mwaka 2022 nakosa umeme kwa masaa 12 kweli? unajua uvumilivu ikizidi sana inakuwa ni ujinga.
Nyinyi wapumbavu ndo huwa mnafeli mitihani kwa ujuaji. Soma uelewe kinachozungumziwa. Montalizadi mkubwa weweTafuta hela ununue jenereta na uchimbe kisima hapo kwako.
Maji shida,umeme shida we na Lissu, mwenzio yuko ulaya anakula maisha watoto wanasoma shule bora
Kwahyo jamaa hataki kurudi kisa umeme na maji? 😂😂😂CCM imetufanya turudi kuishi maisha ya miaka ya 70, mwaka 2022 nakosa umeme kwa masaa 12 kweli? unajua uvumilivu ikizidi sana inakuwa ni ujinga.
Sijawahi kufeli mtihaniNyinyi wapumbavu ndo huwa mnafeli mitihani kwa ujuaji. Soma uelewe kinachozungumziwa. Montalizadi mkubwa wewe
"Watanzania mmezoea vya bure, awamu hii hakuna vya bure". Alisikika kiongozi mmoja akisema.Tafuta hela ununue jenereta na uchimbe kisima hapo kwako.
Maji shida,umeme shida we na Lissu, mwenzio yuko ulaya anakula maisha watoto wanasoma shule bora
Nasikia umeme na maji kwako uhakika 100% kwa kuwa unatumia line moja na Ikulu.Nyinyi wapumbavu ndo huwa mnafeli mitihani kwa ujuaji. Soma uelewe kinachozungumziwa. Montalizadi mkubwa wewe
Wewe unazo hela?Sijawahi kufeli mtihani
Nimesoma nimekuelewa
Tafuta hela
Wewe huwa una low thinking of very minimal orderKwani akirudi umasikini wako utakoma?! Pigania maisha yako mwenyewe usitegemee mtu. Kama ni katiba mpya toka mbele wewe upambane acha kumtegemea Lissu.
Huyo Lissu amepigwa mchana kweupe hata hamkupanua midomo
Maji na umeme vinahusikaje? Deal na stress zako mzeeNasikia umeme na maji kwako uhakika 100% kwa kuwa unatumia line moja na Ikulu.
Mimi naongeze, Pia internet bundle imekuwa ni anasa kwa sasa.Naunga mkono hoja umeme ni anasa awamu ya 6.
Sina mengi ya kuandika. Nitaziacha quotes kwenye picha zizungumzeView attachment 2428807View attachment 2428808View attachment 2428809View attachment 2428811