Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Asitulete maropoko maji taka kisiasa, watu tunajenga nchi ya asali Kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe si ulikuwa unauza internet za wizi, zile za pd proxy sijui mk vpn na voucher za tunnel guru😂😂😂? Tangu lini bando likakusumbua. You should be in jail, umeiibia sana mitandao ya simuMimi naongeze, Pia internet bundle imekuwa ni anasa kwa sasa.
Hizi ni VPN service , zipo hadi sasa, Tembelea sites husika na utaweza kujipatia.pd proxy sijui mk vpn na voucher za tunnel guru
Stress zangu ni umeme na maji. Vinahusika kwa sabau havipatikani.Maji na umeme vinahusikaje? Deal na stress zako mzee
Hizo vpn service ulikuwa unazitumia kuexploit loopholes kwenye mitandao kujipatia internet ya bure😃Hizi ni VPN service , zipo hadi sasa, Tembelea sites husika na utaweza kujipatia.
Kawaambie policy makers, i dont run the countryStress zangu ni umeme na maji. Vinahusika kwa sabau havipatikani.
Siasa na wanasiasaSina mengi ya kuandika. Nitaziacha quotes kwenye picha zizungumzeView attachment 2428807View attachment 2428808View attachment 2428809View attachment 2428811
Uvumilivu ukizidi sana unakuwa ni ujingaCCM imetufanya turudi kuishi maisha ya miaka ya 70, mwaka 2022 nakosa umeme kwa masaa 12 kweli? unajua uvumilivu ikizidi sana inakuwa ni ujinga.
KWA HIYO UNATAKA TUFANYE NINI NA UPUZI WAKO?Sina mengi ya kuandika. Nitaziacha quotes kwenye picha zizungumzeView attachment 2428807View attachment 2428808View attachment 2428809View attachment 2428811
Tabu sana😂jambo la kusikitisha kuona kijana anaumizwa au kuuliwa kwa kuwafatisha hawa jamaaSiasa na wanasiasa
Changamoto ni kwamba hii fani ha siasa huwa wanafanana awe upinzani au tawala wote wanakuwa kama mapacha wanaofanana
Ukitaka kuamini hilo angalia ndani ya vyama hvyo vya siasa kama usultan hakuna yaani mtu akifanikiwa kuwa mwenyekiti au katibu kuachia kiti kazi sana
Na huwa wanajitahidi kuhaminisha wafuasi wao kuwa bila wao hakuna lolote.
Kunya bogaKWA HIYO UNATAKA TUFANYE NINI NA UPUZI WAKO?
Ni ujinga mkubwa sana kupigania wanaojipigania.Tabu sana😂jambo la kusikitisha kuona kijana anaumizwa au kuuliwa kwa kuwafatisha hawa jamaa
KabisaNi ujinga mkubwa sana kupigania wanaojipigania.