mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
Ahsante huyu impositer katumwa na bashite ajifanye mchaga! Ni wa kupigwa sanaWewe watu wanakufokoa kwa beer tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante huyu impositer katumwa na bashite ajifanye mchaga! Ni wa kupigwa sanaWewe watu wanakufokoa kwa beer tu
Akafungue kesi kwa nani wakati mpaka leo Bunge linakumbatia wabunge haramu 19 bila Katiba.Lissu ni mpumbavu sana, yeye ni mwanasheria badala afungue mashitaka amfunge Bashite anakuja kubwabwaja majukwaani.
Makonda kakaa miaka mitatu jobless hakusema kitu wala kumshtaki leo anahara majukwaani.
Apeleke kwa waliompiga na kushindwa kuvumbua tukio lake la kupigwa risasi?Huyu jamaa jinga sana,kama anao ushahidi si apelekepolisi au akamfungulie mashitaka,awandanganye wajinga ,
Kwa hiyo kumbe wachaga wote ndo wapinzani wa Makonda? Waache ukabila mtu afanye aonavyo!Ahsante huyu impositer katumwa na bashite ajifanye mchaga! Ni wa kupigwa sana
Kwa hiyo unaamini kabisa Wachaga wote hawampendi Makonda? Vipi Wasukuma wote wakimchukia Mbowe itakuwaje? Acheni ujinga wa ukabila!An imposter is a person who pretends to be someone else! Unalipwa bei gani na Bashite we mbwa wa porini kutumia majina ya makabila kuchafua hii forum?
Au wewe ni hermaphrodite mwenyewe aka Bashite?
Kama hujatumwa verify hili jina lako! Bastard
Sawa, lakini uwaombe radhi watu wenye changamoto za uoni."kipofu haachi gongo lake", kama ni mhalifu ataufanya tena tu.
Wewe una akili gani kulinganisha na lisu?......Lema na Lisu wake zao wamewaachia wazungu wakifaidi utamu, alafu wamekuja huku kutupigia kelele za kijinga kabisa. Wasaliti wakubwa nyie
Kwa hiyo Lisu ndo nini kipimo cha akili? Ana nini cha ziada tofauti na kubwajaja? He is among the stupid leader!Wewe una akili gani kulinganisha na lisu?......
Njaa inakusumbua !!!
Atumwe mara ngapi? Huyo ana mission aliyopewa kwa maiaka miwili tu.M
Mtume huyo mtwana tena muone!!
Hana jipya , twende tu ipo siku miti yote itatelezaHakika MAKONDA kakushika pabaya sana
Huyu ni mama mjaneWewe siyo mchaga wewe kilaza mkubwa! Nyani kasoro mkia! Acha kuchafua makabila yenye hadhi @KI*Ne#mbe cha m++ako!
Mimi siishi kwa kumfurahisha au kumtumikia mtu bali kweli pekee.Avatar uliyoweka haiendani na akili yako.
Unamdhalilisha Nelson bure. Bora ungeweka ya Mbowe au Lisu ambao ndio wanakutumia kuwatetea mitandaoni.
Tanzania kuna polisi wenye jeuri ya kwenda kinyume na maagizo ya mwenyekiti wa chama?toa ushahidi na upeleke polisi vinginevyo ni majungu na wivu wa kike
Mzayuni bana,Huyu ni mama mjane
Karibu dada anguMzayuni bana,
Uvccm wanachojua ni matusi tu
Mahakama gani hapa Tanzania imethibitisha huo uhalifu wa Makonda!!?? Tuanzie hapo kwanza!!Ameongeza kwa kusema " kwa nchi zenye kufuatia utawala wa sheria Makonda alipaswa kuwa jela".
View attachment 2820200
Alisikia tu lema na lisu yeye huwa hasomi ni mwendo wa matusi. Alikwenda shule kweli huyu etwege?Ama kweli, aheri unyimwe vyote, upate akili. Oneni huyu Etwege asivyojitambua wala hata kuelewa kinachojadiliwa!!
Anawashwa sijui maana wanasema huwa wanawashwa,Ameongeza kwa kusema " kwa nchi zenye kufuatia utawala wa sheria Makonda alipaswa kuwa jela".
View attachment 2820200
Wewe una matatizo mahala. Siyo bure unalinganisha mikutano ya chadema bayo watu wanaenda wenyewe na ile ya c ambayo watu hupewa posho, usafiri, lhanga na wasanii juu? HahLisu kachanganyikiwa baada ya mikutano yake kukosa watu, huku ya Makonda ikifunga mitaa 🤣🤣🤣
Mwaka 2025 nashauri Chadema wabadilishe mgombea, ili angalau wapate wabunge wengi. Akigombea Lisu itakuwa yale yale ya 2020.