Chikaka Sumuni
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,337
- 773
Source:New star tv!!! News!!! New aaaaaargh,ndum.ku kowa
kwnye mikutano yenu huwa mnachangisha pessa . ,si ndio ,ile ni nn na inatoka kwa nani ,? Je kama ni michango na inatoka kwa wananchi kwa ajili ya maendeleo ya chama ? Ni kwann wao wasijichangishe kwa ajili ya maenndeleo yao . ?
Mmewafanya wananchi vichaa .. Ivi kwli unawachangisha wananchi kwa ajili ya chama ,mda huohuo unawahubiria waache kujichangisha kwa maendeleo yao na wangoje serikali ... Kweli .. ? Jitafakari
nilishangaa pia cdm kuibuka videdea kwenye tuhuma za rushwa uchguzi mdogo kalenga .. Tuyaache hayo kwasabu ni aibu kwenu mkiwa wahubir wakubwa kupinga rushwa .
Kwa tuhuma hizo mmezidi kujishushia imani. ..
Kama za kwenu zinaenda kwenye rushwa halafu hamjioji ! Je mna hallali ya kuwanyima wananchi kujichangisha.
binafsi namuunga mkono lissu, serikali ina mapesa mengi ambayo yanatumika hovyohovyo, mfano sh. 8000 milioni kukarabati ukumbi wa bunge la katiba badala ya kuboresha elimu!Jimbo la tundu lisu lina shule 15 tu ambazo zote hazina maabara, na mbunge wa jimbo hilo ''tundu lisu " ndie amekua mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kutotoa michango kwa ajili ya maendelea yao binafsi akidai kua serikali ina pesa za kutosha za kwajengea maabara.
Source: New star tv .
Ivi kweli kila jimbo likingoja mradi wa serikali kufika .. Kuutakua na maendelea nchi hii .
1.sijatoa kichwani kwangu ..ni malalamiko ya wananchi wa jimbo lake . (source ; star tv habari )
2. kabla ya kuwaambia waache kuchanga angewapa hiyo elimu unayoisema ww ,basi leo wananchi wangelalamika.
3. ninapoishi nipo karibu na shule ..na kupitia ofisi ya kata tu na bila hata mbunge kutia neno lake ,ofisi imefanikiwa kuchangisha wananchi na Maabara ya kisasa imejengwa,si hivyo tu madarasa yameongezwa ya kutosha mpaka mengine hayatumiki..iweje yeye azuie michango. ? .
sasa ww sijui unaongea nn .
Source:New star tv!!! News!!! New aaaaaargh,ndum.ku kowa
Jimbo la tundu lisu lina shule 15 tu ambazo zote hazina maabara, na mbunge wa jimbo hilo ''tundu lisu " ndie amekua mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kutotoa michango kwa ajili ya maendelea yao binafsi akidai kua serikali ina pesa za kutosha za kwajengea maabara.
Source: New star tv .
Ivi kweli kila jimbo likingoja mradi wa serikali kufika .. Kuutakua na maendelea nchi hii .
jaribuni kuelewa kitu kimoja Tundu Mugwai Lissu sio mwanasiasa ni mwanaharakati (activist) sielewi ni kitu gani ambacho hamkielewi! Yeye yupo kubishana na serikali sio kusukuma maendeleo
ww ndio umesema hayo ... sisi tunazugzia anayo yafanya tundu Lissu jimboni kwake , hayo ya kalenga na chalinze ni mindset yako tu imekunogea kwenye uchaguzi but hayahusiani ns Tundu .Ebu twambie Mbunge wa Kalenga ni Tundu Lissu, Mbunge wa Chalinze pia ni Tundu Lissu? Mbona unawaza kama ccm ccm hivi. Uliwahi kupata habari kingozi mmoja mzito alipotembelea Ufaransa aliwahi kuulizwa kwa nini Tanzania ni maskini wakati kuna raslimali za asili kedekede? Huyo kiongozi alijibu na yeye hajui kwa nini Tanzania ni Maskini.
Tulieni sindano yenu iingie pole pole mwisho wa ccm kufikiri, Kubuni, kuongoza, kushawishi ushafikia mwisho zawadi pekee ya kuwapa ni kuwapumzisha tu kama KANU, UNIP nk
Imekuwaje hapa maccm mnatiana masingi?kweli ww nawe ni 0 .
ivi unapokua mwanaharakati, kubishana na serikali ndo ubishi wako uwaathiri mpaka wananchi ... tena wananchi maskini jabisa unawanyima fursa ya kujikwamua eti kisa unabishana na serikali... tena mbaya zaidi huo ubishi wako unakufaidisha ww na familia yako .
Mwanaharakati ni mtu abtwonyeha Fursa , mwelekeo , pamoja na kutoka gizani na kuwaonyesha nuru.. !
Mwanaharakati anayafanya yote kwa pamoja , maendeleo kwa jamaii pamoja na kuihimiza serikali katika kuwahudumia jamii
kweli ww nawe ni 0 .
ivi unapokua mwanaharakati, kubishana na serikali ndo ubishi wako uwaathiri mpaka wananchi ... tena wananchi maskini jabisa unawanyima fursa ya kujikwamua eti kisa unabishana na serikali... tena mbaya zaidi huo ubishi wako unakufaidisha ww na familia yako .
Mwanaharakati ni mtu abtwonyeha Fursa , mwelekeo , pamoja na kutoka gizani na kuwaonyesha nuru.. !
Mwanaharakati anayafanya yote kwa pamoja , maendeleo kwa jamaii pamoja na kuihimiza serikali katika kuwahudumia jamii
ukiwa mtoto wa fisadi huwezi jua uchungu wanao upata wazazi na watoto wa masikini katika nchi hii.
ww ndio umesema hayo ... sisi tunazugzia anayo yafanya tundu Lissu jimboni kwake , hayo ya kalenga na chalinze ni mindset yako tu imekunogea kwenye uchaguzi but hayahusiani ns Tundu .
Ndugu Mandella! Hoja yako ni nzuri, na labda jimbo la Singida vijijini linakuhusu zaidi ndo maana unalitakia maendeleo. Ila kumbuka kwamba palikua na wabunge pale tangu uhuru, Tungu Lisu ameanza majuzi miaka minne sasa! Pia Tanzania ina majimbo mengi tu, kama Chalinze alikokua 'baba' sasa 'mtoto' anataka, napo miaka mingi tu, kuna maendeleo sana pale? Tatizo la uduni wa elimu Tanzania ni kubwa ndugu yangu, wala siyo Lisu! Lakini nakubali kwamba wote tunatarajia makubwa sana kwa mtu mwenye kiwango cha Lisu!
Labda mtarajie migogoro, lkn maendeleo sahauni kwa Misimamo ya aina ya Lissu.
1.sijatoa kichwani kwangu ..ni malalamiko ya wananchi wa jimbo lake . (source ; star tv habari )
2. kabla ya kuwaambia waache kuchanga angewapa hiyo elimu unayoisema ww ,basi leo wananchi wangelalamika.
3. ninapoishi nipo karibu na shule ..na kupitia ofisi ya kata tu na bila hata mbunge kutia neno lake ,ofisi imefanikiwa kuchangisha wananchi na Maabara ya kisasa imejengwa,si hivyo tu madarasa yameongezwa ya kutosha mpaka mengine hayatumiki..iweje yeye azuie michango. ? .
sasa ww sijui unaongea nn .
Tundu Lissu baada ya 2015 Ubunge atausikia tu, wengine ni SUGU na LEMA.
1.sijatoa kichwani kwangu ..ni malalamiko ya wananchi wa jimbo lake . (source ; star tv habari )
2. kabla ya kuwaambia waache kuchanga angewapa hiyo elimu unayoisema ww ,basi leo wananchi wangelalamika.
3. ninapoishi nipo karibu na shule ..na kupitia ofisi ya kata tu na bila hata mbunge kutia neno lake ,ofisi imefanikiwa kuchangisha wananchi na Maabara ya kisasa imejengwa,si hivyo tu madarasa yameongezwa ya kutosha mpaka mengine hayatumiki..iweje yeye azuie michango. ? .
sasa ww sijui unaongea nn .
jimbo la tundu lisu ndio linaongoza kwa umasikini tanzania, wapiga kura wake wanajuta kumchagua mgonjwa wa akili.
Jimbo la tundu lisu lina shule 15 tu ambazo zote hazina maabara, na mbunge wa jimbo hilo ''tundu lisu " ndie amekua mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kutotoa michango kwa ajili ya maendelea yao binafsi akidai kua serikali ina pesa za kutosha za kwajengea maabara.
Source: New star tv .
Ivi kweli kila jimbo likingoja mradi wa serikali kufika .. Kuutakua na maendelea nchi hii .