Tundu Lissu: Mbunge kinara wa kudidimiza maendeleo

Tundu Lissu: Mbunge kinara wa kudidimiza maendeleo

lazima liwe na maendeleo. Kalenga na chalinze maendeleo yao yapo juu kwani wananchi wamechangia kwa kiwango kikubwa ila serikali haijatuma mafungu ya maendeleo hadi kampeni za ubunge zianze! Nawe mwenye uzi huu ndo msemaji wa majimbo yasiyo na maendeleo? Jimboni utokako kuna hali gani? Na hali hiyo imechangiwa na michango yenu au ya serikali? Kama mmekamuliwa ninyi wenyewe, basi funds za miradi yenu hizi huku mbezi beach zinaporomosha makasri ya wakurugenzi wenu! Fikiri upya jinsi ya kumtumia lissu kama sample kwani amekuacha mbali.

1.Ninapoishi kuna maandeleo ya kutoka serikali na mengine ni juhudi za wananchi .... ni vizuri kuonyesha ya kujilomboa kabla ya kusubiriwa kujikomboa ..

2. Unaposema Tundu Lissu kanizidi , unamaanisha nini..
kanizidi kiumri .,au ana mwili mkubwa kuliko mm.. be specific mtu aweze kukujibu kinachokusumbua .
 
1.Ninapoishi kuna maandeleo ya kutoka serikali na mengine ni juhudi za wananchi .... ni vizuri kuonyesha ya kujilomboa kabla ya kusubiriwa kujikomboa ..

2. Unaposema Tundu Lissu kanizidi , unamaanisha nini..
kanizidi kiumri .,au ana mwili mkubwa kuliko mm.. be specific mtu aweze kukujibu kinachokusumbua .

Hapo jamaa ana maanisha kimtazamo, fikra na kupambanua jambo likaeleweka ktk jamii.pia na elimu kwa ujumla.
 
jimbo la tundu lisu ndio linaongoza kwa umasikini tanzania, wapiga kura wake wanajuta kumchagua mgonjwa wa akili.
Tunafahamu kwamba mama yako mzazi aliwahi kuugua ugonjwa wa akili uliosababishwa na maradhi ya zinaa! sina uhakika kama alishatibiwa maradhi hayo!
 
Ebu twambie Mbunge wa Kalenga ni Tundu Lissu, Mbunge wa Chalinze pia ni Tundu Lissu? Mbona unawaza kama ccm ccm hivi. Uliwahi kupata habari kingozi mmoja mzito alipotembelea Ufaransa aliwahi kuulizwa kwa nini Tanzania ni maskini wakati kuna raslimali za asili kedekede? Huyo kiongozi alijibu na yeye hajui kwa nini Tanzania ni Maskini.

Tulieni sindano yenu iingie pole pole mwisho wa ccm kufikiri, Kubuni, kuongoza, kushawishi ushafikia mwisho zawadi pekee ya kuwapa ni kuwapumzisha tu kama KANU, UNIP nk

Acha ujinga na wewe unamwogopa nani f.a.l.a wewe...sema jina la la huyo kiongozi aliyetembelea ufaransa akashndwa kujibu kwa nini tz ni maskini ni RAISI KAKWETE
 
Hakuna kuchangisha walala hoi!!wauze shangingi moja la m 100 toka kwenye msafara wa Pinda au ------ wakajenge maabara.Eti nchi maskini wakati viongozi wanaishi kama pepo raia kama jehanam.
 
Hujui kuwa ni jukumu la ccm na serikali take kufanya hayo?... kod haztosh had Mchangishe na Mchanga michango tena.... wahisani vp mnazitumbua

Haya subirini,, wenzenu wa Moshi mambo yao yanakwenda.
 
Labda hujanielewa, mwenye uzi ameonesha matarajio makubwa, lakini amekatishwa tamaa. Kwa sababu amemlenga Tundu Lisu pekee! Migogoro ni bora kuliko, kuwa katika hali hii tuliyo nayo hapa Tanzania! Kama tunataka maendeleo lazima tukaze msuli, tupambane na maadui za maendeleo yetu na ikiwa misimamo na kelele za Lisu zitaamsha mori huo, ni bora kuliko kuendelea kutafunwa miaka yote!

napenda watu waelewa na wenye nidhamu ya uchangiaji kama ww .. nyie ndio watu mnaostahili kuchangia huku JF .
sio watu wachangiaji wengine akili zao ziko kwnye kutete maslahi ya vyama tu bila kujua dhumuni la uzi ..

ahsante saana @ santysandy
 
Jimbo la Tundu Lissu lina shule 15 tu ambazo zote hazina maabara, na mbunge wa jimbo hilo ''Tundu Lissu " ndie amekuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kutotoa michango kwa ajili ya maendelea yao binafsi akidai kua serikali ina pesa za kutosha za kuwajengea maabara.

Source: New star tv .

Hivi kweli kila jimbo likingoja mradi wa serikali kufika .. Kuutakua na maendelea nchi hii .

Tundu Lissu ni janga yule. Ni kweli kabisa kawakataza wananchi wake kuchangia maendeleo ktk jimbo lake kwa kisingizio kuwa ni wajibu wa serikali. Hatukatai ni kweli, lakini aelewe kwamba nchi hujengwa na wananchi na atambue kuwa anawarudisha nyuma wenzake kimaendeleo kwani suala la kuchangia maendeleo ya kijamii lipo kila sehemu. Na ukisubiri serikali ikuletee, utaendelea kuwa nyuma karne hadi karne.

Tundu lissu ndo muuaji mkuu hata wa chadema yule kama hawajamjua mpaka sasa
 
Haya subirini,, wenzenu wa Moshi mambo yao yanakwenda.

Ni kweli kabisa kaka, Tanzania hii moja ya sehemu zilizoendelea ni Moshi pia, kwani wanachangia maendeleo yao hao. Kila mwaka ikifika Disemba wanapeleka walichichuma kwa mwaka mzima. Nyie wengine endeleeni kusubiri serikali iwaletee maendeleo. Mtasubiri mpaka Yesu anarudi, msikilizeni Lissu tu. Yeye alishasoma na watoto wake wanasoma kwingine hawapo katikt jimbo hilo.
 
Jimbo la Tundu Lissu lina shule 15 tu ambazo zote hazina maabara, na mbunge wa jimbo hilo ''Tundu Lissu " ndie amekuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kutotoa michango kwa ajili ya maendelea yao binafsi akidai kua serikali ina pesa za kutosha za kuwajengea maabara.

Source: New star tv .

Hivi kweli kila jimbo likingoja mradi wa serikali kufika .. Kuutakua na maendelea nchi hii .

Kweli wewe mleta mada umevurugwa na hao wanachi wanaolalamika,kwanza huenda walipangwa makusudi,serikali ya ccm ibachangisha michango wananchi kwa naendeleo yao wenyewe huku kodi zinazolipwa na wananchi hao zikitumiwa na hao viongozi kifisadi tu,jiulize ni kiongozi gani wa ccm alishachangia hayo maendeleo?boya wewe badilika,hata mimu sichangi na sitachanga milele!
 
siyo hivyo tu.Tundu alihamasisha wananchi kuvunja mabanda ya shanta gold mine.walipokamatwa watu Tundu alijitoa kwenye kesi.Si hivyo tu jimbo hili ni tajiri kwa rasilimali kuna dhahabu udongo wenye rutuba na misitu.kaangalie mkaa unatoka wapi na mahindi yanatoka wapi ktk mkoa wa singida.Tundu kawa kweli mtundu.
 
Kweli wewe mleta mada umevurugwa na hao wanachi wanaolalamika,kwanza huenda walipangwa makusudi,serikali ya ccm ibachangisha michango wananchi kwa naendeleo yao wenyewe huku kodi zinazolipwa na wananchi hao zikitumiwa na hao viongozi kifisadi tu,jiulize ni kiongozi gani wa ccm alishachangia hayo maendeleo?boya wewe badilika,hata mimu sichangi na sitachanga milele!

Nashkuru saana
1. kwa kuchangia mada hii.
2. kua kinara wa kukataa kuchangia
3. kunitukana.

Ila naomba unijibu maswali haya ...
1.Chadema huwa mnachangisha watu kwnye nikutano yenu mkiamini kua michango hiyi ni kwa ajilibya maaendeleo ya chama .
SWALI; Je kwann mnaona ni vibaya kwa wananchi hao hao kujichangisha wenyewe kwa maendeleo yao binafsi. ?

2. Kuibia wananchi kupo kwa njia mbili ... direct na inditect ..
SWALI ; Je ni yupi kati ya CCM au CDM wanawaibaa wanachi direct ,ni hao wanaochngisha mchana kwnye jua kali kweupee , au ni hao wanaibia indirect ?
 
Tundu Lissu ni janga yule. Ni kweli kabisa kawakataza wananchi wake kuchangia maendeleo ktk jimbo lake kwa kisingizio kuwa ni wajibu wa serikali. Hatukatai ni kweli, lakini aelewe kwamba nchi hujengwa na wananchi na atambue kuwa anawarudisha nyuma wenzake kimaendeleo kwani suala la kuchangia maendeleo ya kijamii lipo kila sehemu. Na ukisubiri serikali ikuletee, utaendelea kuwa nyuma karne hadi karne.

Tundu lissu ndo muuaji mkuu hata wa chadema yule kama hawajamjua mpaka sasa

Iko siku atawaambia wasitafute hela ya kula kwani ni jukumu la serikali kuhakikisha watu wake hawafi kwa njaa!
 
Ni kweli kabisa kaka, Tanzania hii moja ya sehemu zilizoendelea ni Moshi pia, kwani wanachangia maendeleo yao hao. Kila mwaka ikifika Disemba wanapeleka walichichuma kwa mwaka mzima. Nyie wengine endeleeni kusubiri serikali iwaletee maendeleo. Mtasubiri mpaka Yesu anarudi, msikilizeni Lissu tu. Yeye alishasoma na watoto wake wanasoma kwingine hawapo katikt jimbo hilo.

Lisu alishaugua kichaa, na wataalam wanasema huwa hakiponi kwa asilimia zote.
 
Kwnye mikutano yenu huwa mnachangisha pessa . ,si ndio ,ile ni nn na inatoka kwa nani ,? je kama ni michango na inatoka kwa wananchi kwa ajili ya maendeleo ya chama ? ni kwann wao wasijichangishe kwa ajili ya maenndeleo yao . ?

Mmewafanya wananchi vichaa .. ivi kwli unawachangisha wananchi kwa ajili ya chama ,mda huohuo unawahubiria waache kujichangisha kwa maendeleo yao na wangoje serikali ... kweli .. ? jitafakari
nilishangaa pia CDM kuibuka videdea kwenye tuhuma za rushwa uchguzi mdogo kalenga .. tuyaache hayo kwasabu ni aibu kwenu mkiwa wahubir wakubwa kupinga Rushwa .
Kwa tuhuma hizo mmezidi kujishushia imani. ..
Kama za kwenu zinaenda kwenye rushwa halafu hamjioji ! je mna hallali ya kuwanyima wananchi kujichangisha.

Hao CDM hamna ki2 ni maneno mengi tu na matusi
Ukijua kubwata na ku2kana basi unaweza kupata nafasi cdm bila wacwac
Me cna imani tena na hawa wapuuz
Kwa akili hii tundu lissu,naweza sema ni punguani mkubwa
Wanacctza migomo ya kijinga,sasa mmesh2kiwa
Hampati urais ng'o
 
vijana ha2na nyuma wala mbele 2kipewa pesa za bangi tu tunaanza kubwata,na kui2kana CCM
Wanachi wanalalamika kwa upuuz huu wa huyu mpuuz tundu lissi
 
Halafu wao kwenye mikutano yao wanatembeza bakuli.....sijui ruzuku haitoshi?

wao hawakusanyi kodi bali mchango wa hiari kama obama alivyofanya mbona hamkusema au kwa kuwa ilikuwa ni marekani?
 
Back
Top Bottom