Tundu Lissu: Mbunge kinara wa kudidimiza maendeleo

Tundu Lissu: Mbunge kinara wa kudidimiza maendeleo

Jimbo la Tundu Lissu lina shule 15 tu ambazo zote hazina maabara, na mbunge wa jimbo hilo ''Tundu Lissu " ndie amekuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kutotoa michango kwa ajili ya maendelea yao binafsi akidai kua serikali ina pesa za kutosha za kuwajengea maabara.

Source: New star tv .

Hivi kweli kila jimbo likingoja mradi wa serikali kufika .. Kuutakua na maendelea nchi hii .

Hivi unatumia makalio kufikiri au?kwa miaka 45 CCM wamejenga shule ngapi hapo jimboni huku wakiwa wameshika serikali?
 
lisu toka awe mbunge hajawahi kukanyaga jimboni kwake..Wapiga kura wake wanamuona tu kwenye tv na kumsoma kwenye magazeti akimtukana baba wa taifa
 
Tundu lissu n mbunge mahiri na anajua anachokisema , ccm inaiba fedha za wananchi bila huruma,api
kama ccm wanaweza kuwasamehe vijana walioiba fedha kutoka hazina TSH 8 BILLION wakisingizia ni za safari ya rais na rais mwenyewe yupo hai, je kodi za wananchi zinatakiwa kufanya kazi gani ndugu yangu? kila mwananchi anaambiwa lipa kodi kwa maendeleo yake , kwanini wananchi wachangishwe michango mikubwa , iaibu div5
 
Wajinga watakupinga ila ujumbe umefika, na ni aibu kubwa sana kwani yupo hodari kupayuka majukuani tu na kwake maendeleo karibu na ziro, ukichunguza vizuri unaweza kuta shule hizo alizikuta.

yani wewe usieelewa mchango wa mh tundu lisu kweli una kasoro hakika,sie tunaona mchango wake sio jimboni kwenu tu bali mchango unaonekana kwa taifa pia,kama wewe huthamini kalale,sawa mkubwa,
 
Hilo unajua wewe, miaka minne ni mingi sana, kafanya nini sasa kwa hiyo miaka minne? kwa maana ubunge ni miaka mitano tu, aache ujinga hawez kuongoza aachie wengine.

kama hlo jimbo limekaliwa miaka 50 ya maccm kuna kipi kipya chakujivunia?miaka mine tu kelele,sie huku lipo la ccm uongo kibao,propaganda nyingi,juzi limegawa kanga na kuahid maji.ujinga mtupu,msitumie umaskini wa watz kutawala kwa kuwapa kanga,historia itawahukumu nyie.
 
Habari

Huyu bepari ndio anaangamiza hili taifa maana anasababisha raisi na viongozi wetu washindwe kuconcentrate na maendeleo.

Kila siku majukwaani kupinga maendeleo huyu jamaa ni mpinga maendeleo na yeye ndio amelifikisha taifa hili hapa baada ya miaka 60.

Ametuchelewesha sana kwa kweli bila tundu lissu tungekuwa mbali sana kama taifa.
 
Hamna mwenye time nayo, zaidi ya walala hoi. Achana nae huyo tundu lisu asikupotezee muda
 
Ni mpumbavu fulani hata Mbowe kamchoka sana basi tu
Badala ya kuuza sera za Chadema, yeye kutwa kuchwa ni kulalama mara gari yangu sijui Zanzibar, hivi vinamuhusu nini mkulima vijijini?
Kwanini asiwe anapangua sera za Bashe tuone mbadala wa Chadema kwenye kilimo ni upi?
 
Back
Top Bottom