vijana ha2na nyuma wala mbele 2kipewa pesa za bangi tu tunaanza kubwata,na kui2kana CCM
Wanachi wanalalamika kwa upuuz huu wa huyu mpuuz tundu lissi
kama ulijifunza kuvuta bangi za ofa una hasara sana na hivi unataka kutuaminisha kuwa umeandika ili wanaokufadhili bangi wakulipie japo puli ya leo! Aibu kwako na unaowategemea. Vijana kuwa maskini kunachangia na sera mbovu za ccm kuhusu vijana. Na mliopo huko ccm mnawatumia kama tissue paper tu wakati wa kupigiana kura. Mkishachaguliwa mnawatelekeza na kuwasahau kwa miaka mitano mingine. Badilikeni enyi wapiga vigelegele wa ccm.
Tundu Lissu siyo saizi yako na wengine mnaofanana(ccm) kwani uwezo wake tu wa kujenga hoja na kushawishi ni mkubwa kuliko unavyojua. Mtazame bungeni anavyowagalagaza hao wanasheria uchwala wenu kwa kupotosha na kutokuzielewa sheria walizokopi toka uingereza na marekani. Anakubalika na wengi na kama huamini muulize pinda ambaye alikiri kuwa yeye lissu alistahili kuwa waziri wa sheria au mwanasheria mkuu! Kuhusu michango ya maendeleo yupo sahihi kwani anatetea matumizi sahihi ya kodi zetu kutumika pasi na vipaumbele. Ukubali tu kuwa hata wewe tundu ni role modal wako. Big up tundu lissu itetee katiba mpya yenye maslahi mapana kwa wananchi na si kwa ccm.
