Tundu Lissu: Miradi mikubwa ya Hayati Magufuli ni majanga yajayo ya kiuchumi

Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
Unaweza kumpuuza wewe wala hakuna wa kukushangaa maana hii ndiyo maana ya "Uhuru Wa mawazo" na "Uhuru wa kuchagua"..

Sisi wengine tunamfuata, tunamwamini na kukitilia maanani na umakini kila anachokizungumza...

Tena kwa habari ya Mwendazake usituambie kabisa. Mwache aende zake, alikuwa ni muharibifu tu huyo. Hana legacy yoyote ktk jamii iliyostaarabika...
 
Ile ni Miradi hewa.

kwanza mingi haiwezi kukamilika.

Ile miradi ni Uchuro
Tukiwa na watanzania kama wewe Zaidi ya Million 30. Hii nchi tutaishia kuuza nyanya na mboga mboga tu maana ndio tunaweza fanya na ikakamilika.

Kama unaona kabisa kwamba miradi haitakamilika basi wewe utakuwa unakula ugali wa mama yako. Huna jipya.
 
Mambo mengine muwe mnawapuuza hata kama munawapenda.
 
Serikali ya Kenya waliuza asilimia 50 ya hisa kwa sekta binafsi na kadri muda unavyoendelea itauza tu hisa zake zote zilizobaki waondokane na hiyo biashara kichaa ambayo imekuwa chaka la upigaji kwa vigogo.
Ni kama vile hutakuja kusikia KQ wameuza ndege zake sababu hawajapata faida.. Ni service pia ambayo ni muhimu sana kwa nyanja zingine..
 
Serikali ya Kenya waliuza asilimia 50 ya hisa kwa sekta binafsi na kadri muda unavyoendelea itauza tu hisa zake zote zilizobaki waondokane na hiyo biashara kichaa ambayo imekuwa chaka la upigaji kwa vigogo.
Ni kweli, lakini mpaka hapo watakapouza hizo hisa zote na kujitoa ndio tutaliongea hilo. Si uongo, Airlline ni biashara kichaa lakini bado zitaendelea kuwepo.
Serikali ya kenya imeuza hisa 50 % halafu kukaibuka kitu KQ lenders( consortium of Banks). Wamiliki wa Banks Kenya utakuta ni wale wale waliokuwa/wako Serikalini. KQ sio rahisi kufa na Serikali haitatoka mule. Just my opinion.
 
Kwani CAG kichere amesemaje?
Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
 
Tundu Lissu siyo mzalendo, azungumze mambo ya huko ubelgiji. Atuachie Tanzania yetu. Miradi ya Magufuli ni ya maendeleo kizazi hata kizazi
Mabasu tu ya mwendi kasi mnataka kupasuana vichwa. Yaani hii nchi mataga sijui mlilogwa na nani. Mnashindwa na Abood mtu mmoja?
 
Samia hawezi kwenda kinyume na mwendazake, majanga matupu
 
Wakati ATCL ilipokuwa imekufa watu walikuwa wanasafiri vizuri na ndege tena kwa bei nafuu.
ATCL hajaongeza tija yoyote kwenye usafiri wa ndege nchini.
Mataifa chungu nzima yaliyoendela na yanayojielewa yameiachia hii biashara sekta binafsi.
 
Jitu lilikuwa jizi/jambazi lililojivisha uzalendo, asante Mungu kwa kutusaidia
 
Labda kama Lisu alianza siasa baaad ya Magufuli kuwa rais, hapo ndio siasa zake zinaweza kufikia mwisho?
Hoja hapa ni Lissu kuwa na harakati za kupambana na hayati JPM kama individual elewa kijana.
 
saa zingine tunasikia mengi na mengi yanatishia sana

ila ngoja tuache muda uende tuyaone hayo!
 
Mhe. Mama Samia ameshawaeleza Serikali yake ni muendelezo wa Serikali ya awamu ya 5. Hakuna kipya kitakachotokea. Miradi yote ya kimkakati lazima itekelezwe. Huyo Profesa wenu maandazi akatafute Nchi ya kuishi. Profesa gani mzandiki huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…