Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Hata Ibilisi alikuwa Kiongozi mkuu mbinguni akabadilika! Kwa hiyo LISU akibadilika tusimseme?
 
Dadavua faida na hasara
 
Vipi wale wabunge wenu wa CCM 300+ si ndio wamepitisha mktaba wa Bandari? Mbona huwalaumu? Una waza kwa kutumia kisamvu chako?
"Wabunge wangu"

Hivyo na wewe una wabunge wako.? Wewe subiri mada mserereko unazolingana nazo kiakili ili utukane vizuri, wewe bumunda huku hapakutoshi.
 
Wanaitaka bandari ya dar ili waiue, kwasababu waanajua ikiboreshwa , Uchumi wa Dubai utakufa kwa sababu Dubai inategemea bandari. So wakiinunua watajua na udhibiti mkubwa.

Kumbuka Dubai na washirika wake USA walihakikisha bagamoyo haijengwi kwa sababu bidhaa zote za china zinapitia Dubai kuja Afrika, hivyo km bagamoyo ingejengwa bidhaa zote za Afrika zingetoka china na kuja bagamoyo Moja kwa Moja, na hivyo uchumi wa Dubai ungekufa.

Hii Ni Vita ya kiuchumi so uwekezaji.
 
Hata Ibilisi alikuwa Kiongozi mkuu mbinguni akabadilika! Kwa hiyo LISU akibadilika tusimseme?
Mbona hueleweki unasema kitu gani?

Ni sehemu gani umenisoma nikisema Lissu asisemwe?

Amebadilika vipi, kwa kutoa tafsiri tu ya taratibu za kisheria zinazofanyika? Mbona hajatoa maoni yake kuhusu swala hilo, wewe umejuaje kuwa "kabadilika" wakati hajatoa maoni yake juu ya swala lenyewe
 
Kwa hiyo ile miezi 12 (muda wa mkataba) iliyotajwa kwenye ufafanuzi wa TPA ni kiini macho?

Mbadili sheria kwa ajili ya mkataba wa miezi kumi na mbili?

Naona Zitto yeye anacharaza mapambio tu kwamba kwa mara ya kwanza mikataba inapitia bungeni.

Je International treaty (siyo Bilateral Commercial Agreement) iliyosainiwa hivi karibuni zaidi ni ipi?
 
Wezenu wanatafuta pesa za uchaguzi nyie mko ulaya sijui manafanya Nini huko na hamsemi

Ccm na serikali walivyosema hawako tayari kuomba msaada kimataifa kwajili ya uchaguzi walimanisha mno ....

Rudini mje makamatie inavyotakiwa
 
Hapana mkuu bandari haiendi popote.

Hachukui mtu.

Ni Matamanio ya Kila Mtu mtz kuwa Engine ya Inchi yetu(Bandari) ibaki mkononi mwa serikali hata kama tunasua sua potelea mbali , kuliko kuwaachia Mataifa mengine yenye interest tofauti na Inchi yetu.

Usalama wa Inchi yetu upo rehani
 
Nini kinajadiliwa Bungeni wakati Mkataba ushasainiwa ?

Mbona twachezeana shere
 
Ni Matamanio ya Kila Mtu mtz kuwa Engine ya Inchi yetu(Bandari) ibaki mkononi mwa serikali hata kama tunasua sua potelea mbali , kuliko kuwaachia Mataifa mengine yenye interest tofauti na Inchi yetu.

Usalama wa Inchi yetu upo rehani
itarejea tu.

Mungu ni mwema wakati wote.
 

Unajua wengine tulijua tu hii mbungi inayochezwa hapa HATUTOBOI! Lazima kuna ajenda!

Akina Msigwa na Kijaji wakajitokeza na blah blah kibao! Kiko wapi?

Cha bure duniani kwa sasa ni salamu tu,nayo ukijichetua unailipia.
 

Aliepinga ujenzi wa bandari ya bagamoyo ni Magufuli kwa kigezo cha kwamba mkataba wake una masharti magumu.

Unataka kusema na yeye pia alitumika na mabeberu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…