Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ameongea kwa upole sana. Kweli umeongea point. Kuwekwa sheria inayotaka migogoro ya kimkataba iamuliwe nje ya nchi tunapiga kelele, JPM kaondoa hiyo, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huuNadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
Alivuta mpunga.Hapana.
Weka ushabiki pembeni.
Lissu anajulikana kuwa mpambanaji toka Bulyankhulu; hadi Nyamongo. Kachaniawa magwanda na polisi kabla hata Acacia hajazaliwa.
Huu ushabiki ndio wanaoutumia akina Samia sasa kutuuza kama punda. Unasahau kabisa adui wa nchi hii ni nani badala yake unatumia ushabki tu, uliouzoea na kuufanya kama utani wa Simba na Yanga.
Hakuwahi kuchafukaAnaanza mdogo mdogo kujisafisha baada ya kuchemka....
Aisee hadi Leo hujui CLUBHOUSEHuko Club house ndo wapi?Any way mkataba ukifanikishwa na Rostam Aziz fisadi Papa ,ujue hapo nchi imepigwa.
Basi unalo tatizo lako jingine na huyo Lissu. Tafuta njia muyamalize.Alivuta mpunga.
Na sasa hivi kavuta tena.
Atoke kwa sababu yeye kazaliwa kuwasemea nyie? Mpuuzi weweSwali kwa tundu lissu Vipi hamtoki barabarani!
Yuko huko wapi? Yuko Bungeni? We Pimbi kweli, yaani unashindwa kudili na walioko bungeni una Dili na Lisu? Lisu ni Mwanasheria wa Serikali? Lisu ni mbunge? Acha upoyoyo weweNadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
Na wewe si ukahongwe?Lisu alihongwa na Accacia hana Uzalendo wowote yule.
Waliomnukuu walikoseaAnaanza mdogo mdogo kujisafisha baada ya kuchemka....
KahongwaBasi unalo tatizo lako jingine na huyo Lissu. Tafuta njia muyamalize.
Katika hili Lissu kaeleza tu kitaalam mambo yalivyo kisheria, hajaongeza jingine lolote unalotaka wewe kuaminisha watu wakubaliane nawe hapa.
Sio kila mtu anapenda pesa.Na wewe si ukahongwe?
Kwenye rasilimali, bandari ni rasilimaliHivi hii sheria ya Magufuli sio kwenye madini tu? Sidhani kama ni mikataba yote.
Vipi wale wabunge wenu wa CCM 300+ si ndio wamepitisha mktaba wa Bandari? Mbona huwalaumu? Una waza kwa kutumia kisamvu chako?Huyu alishafikwa bei kitambo sana, usitegeme lolote la maana kutoka kwake. Ma-deal kama haya ni lazima wapiga kelele wote watangiziwe.
Wewe si ukavute?Alivuta mpunga.
Na sasa hivi kavuta tena.
Hebu eleza ni wapi katika hayo yaliyoandikwa hapo juu yakidaiwa kuwa yalisemwa na Lissu, ni wapi ulipoona wewe kasema kwamba "tulifanya uamzi wa ajabu", badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu