Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Nadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
Lissu ameongea kwa upole sana. Kweli umeongea point. Kuwekwa sheria inayotaka migogoro ya kimkataba iamuliwe nje ya nchi tunapiga kelele, JPM kaondoa hiyo, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu
 
Hapana.
Weka ushabiki pembeni.
Lissu anajulikana kuwa mpambanaji toka Bulyankhulu; hadi Nyamongo. Kachaniawa magwanda na polisi kabla hata Acacia hajazaliwa.
Huu ushabiki ndio wanaoutumia akina Samia sasa kutuuza kama punda. Unasahau kabisa adui wa nchi hii ni nani badala yake unatumia ushabki tu, uliouzoea na kuufanya kama utani wa Simba na Yanga.
Alivuta mpunga.

Na sasa hivi kavuta tena.
 
Nadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
Yuko huko wapi? Yuko Bungeni? We Pimbi kweli, yaani unashindwa kudili na walioko bungeni una Dili na Lisu? Lisu ni Mwanasheria wa Serikali? Lisu ni mbunge? Acha upoyoyo wewe
 
Basi unalo tatizo lako jingine na huyo Lissu. Tafuta njia muyamalize.
Katika hili Lissu kaeleza tu kitaalam mambo yalivyo kisheria, hajaongeza jingine lolote unalotaka wewe kuaminisha watu wakubaliane nawe hapa.
Kahongwa
 
, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu
Hebu eleza ni wapi katika hayo yaliyoandikwa hapo juu yakidaiwa kuwa yalisemwa na Lissu, ni wapi ulipoona wewe kasema kwamba "tulifanya uamzi wa ajabu"
Ni sehemu gani ya maandishi hayo Lissu anaposema "anaona kurudisha utaratibu wa zamani ndiyo sawa"?

Umeisoma hiyo taarifa na kuielewa, au umeamua kufanya tafsiri yako mwenyewe uliyonayo kumhusu Tundu Lissu?
 
Back
Top Bottom