Tundu Lissu mubashara VOA

Tundu Lissu mubashara VOA

Lissu is a liability and curse to this nation every serious leader wili never rule out proper methods of how to dealing him.
 
Ameshapoteza mvuto kwa wananchi wasio na vyama. Watakao msapoti ni chadema wenzake ambao hawamshauri wana mjaza upepo ili aendelee kubwabwaja yasio ya msingi.

Kama ibilisi alivyokuwa alivyokuwa amepoteza ushawishi kwa wananchi,hadi ikabidi anajisi uchaguzi na kuua wananchi ili akae madarakani kwa shuruti.
 
Tundu Lissu ni JUKEBOX ya wazungu. Wanaweka coin anaimba nyimbo zao msishangae kutuita waafrika wenzake "dark person" siku ataliita bara la Afrika "dark continent"
Tumeanza kuwaona msiyo julikana sasa.
Kumbe nawewe ulishiriki?
 
Ccm ndio wanaichafua hii nchi..
Lissu alijipanga kuchafua nchi .

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lissu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lakini amegaragazwa ,asante PLO
 
Hadi PLO Lumumba kamwambia akiendelea kuongozwa na chuki na hasira Kwenye akili na moyo wake ,atapoteza ata mvuto aliokua nao kwa watu
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Wise words for someone to learn!
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Tumeanza kuwaona msiyo julikana sasa.
Kumbe nawewe ulishiriki?
Mkuu Mmawia sijawahi kushiriki uovu wowote Ila kwa jinsi huyu mbwa anavyolichafua taifa langu siku nikikutananae mitama lazima ihusike. Halafu nitajihisi nimelitendea haki taifa langu. Yaani ninakwenda jela nimebeba bendera ya taifa
 
Zaidi akaenda mbali kumuita mlinzi huyo "dark person" hii ni kauli ya kibaguzi (xenophobic). Kwa hadhi ya Tundu Lissu kutumia kauli kama "dark person" kama alama ya utambuzi wa mtu inaonyesha jinsi gani ambavyo hafai kuwa kiongozi.
Ndio terminology nzuri zaidi kumuita mtu mweusi. Angetumia neno 'black' ingechukuliwa vibaya. Ni kiingereza tu ndugu, jitahidi kujifunza

1617262724751.png
 
Mkuu Mmawia sijawahi kushiriki uovu wowote Ila kwa jinsi huyu mbwa anavyolichafua taifa langu siku nikikutananae mitama lazima ihusike. Halafu nitajihisi nimelitendea haki taifa langu. Yaani ninakwenda jela nimebeba bendera ya taifa
Kwahiyo hao mbwa walio mshambulia kwa risasi 38 unawasifia kwa kitendo walicho kifanya?
 
na lumumba kamwambia His path of criticism based on Anger will de-popularize him among Tz’s
 
Mbeligiji tayari alishafanya maziko ya aliyekuwa mlinzi wa Raisi, unatarifa zozote kuhusu madai hayo ya mbeligiji
Taarifa nilizo nazo ni kuwa ushapata maambikizi ya corona hivyo anza kujiandaa kwa safari
 
Back
Top Bottom