Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Lisu hawezekaniki.....kama Magu mwenyewe alimshindwa nani atakaemuweza huyu jamaa???!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kaz kama Wewe ni Maskini usifanye utapata Laana ya Machozi ya wengi kwa kuwatetea wanyang'anyi kwani utalazimika kua Chawa ili uongeze urefu wa Kamba.Police wanatuchelewesha sana kufika Kanani/Paradiso
Lissu anapigania future ya watoto na wajukuu zako ndani ya Taifa hili.lisu ni wakushushwa bega kabla hajakomaa
Sa100 Nchi imemshinda bora ajiuzulu arudi kwao akale ulojoHabari hii ni kwa mujibu wa Martin Maranja Masese kupitia mtandao wa X.
Serikali hii ni serikali ya watanzania au waarabu?Aendelee kutukana serikali sasa natumaini onyo amelipokea.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ni serikali ya warabu na rais anaitwa Mohamed bin Salman atatawala mpaka 2030 kama hupendi hama nchi.Serikali hii ni serikali ya watanzania au waarabu?
Tunataka Serikali ya WatanganyikaAendelee kutukana serikali sasa natumaini onyo amelipokea.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Rudi kwenu BurundiTunataka Serikali ya Watanganyika
Kichwani kwake ni Maktaba tosha ,kujisomea SheriaWameogopa kupewa shule ya sheria[emoji38][emoji38]
Huo mguu wa kulia toto Tundu Lissu kafanyaje tena huyu mnyaturu haachi usanii 🤣🤣
Kweli unabii wa Ian Ndlovu kuhusu kukamatwa kwa prominent leader atakayetoka nje ya nchi imetimia. Alitabiri mwaka jana wakati hali ikiwa shwari kabisa ya maridhiano.Jeshi la Polisi mkoani Arusha limempatia dhamama Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na viongozi wengine wa chama hicho waliokamatwa muda huu saa 2 usiku jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure amesema viongozi hao wametakiwa kesho saa tatu asubuhi kuripoti polisi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo iliyotolewa leo Jumapili Septemba 10, 2023 ilisema kuwa Lissu na wenzake watatu walishikiliwa kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko isiyo halali na kuzuia polisi kufanya kazi zao.