Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Hivi hujisikii aibu kusema anazungumza na watanzania? Kama Nani kwamfano, sema atazungumza na wanachama wa Sacco's ya mtaa wa ufipa
Mkuu kwa ili mtu anayepaswa kuzungumza na watanzania anapaswa kwanza kuwa nani?na je hao watu uliowataja ni watu wa taifa gani?
 
Alisema hana imani na vyombo vyetu vya usalama. Iweje awaombe ?
 
Tangu aondoke sasa ni miaka ni miaka mitatu, Tanzania haijawahi kusimama Wala kuwa na upungufu wowote wa rasilimali watu,

Na zaidi Sana Tanzania bila yeyote, bila Lisu, bila CCM Wala Chadema haitasimama

Lisu, Lisu, Lisu, Lisu, ndo Nani?
 
Tangu aondoke sasa ni miaka ni miaka mitatu, Tanzania haijawahi kusimama Wala kuwa na upungufu wowote wa rasilimali watu,

Na zaidi Sana Tanzania bila yeyote, bila Lisu, bila CCM Wala Chadema haitasimama

Lisu, Lisu, Lisu, Lisu, ndo Nani?
Sio lisu tu,hata wewe.Dunia haijawai kusimama hata kabla ya Adamu
 
Hiyo safari anatokea mbinguni.....maana story nyingi mwisho wa siku atasema anaahirisha kwa sababu cdf hajamuhakikishia usalama wake.

Lisu ni mtata mtata sana.
Usalama wa Lissu kikatiba unahakikishwa na serikali, sio chama chake! Naamini serikali itahakikisha anakuwa salama
 
Lissu namkubali sana ila inasikitisha chadema imeshajifia kwa tamaa binafsi za Mbowe
 
Akitua tu Segerea, hilo ajiandae tu anasubiriwa kwa hamu .Kutia nia ya uraisi hakuondoi hatia aliyonayo.Hilo ajiandae na akae analijua kuwa milango ya Segerea iko wazi inamsubiria na Court order ziko mikononi 24/7 za kumdaka awaishwe Segerea

Hilo ni yeye tu kujipanga kisaikolojia kuwa from Belgium to Segerea prison na uzuri hajasumbua interpol wala nini anakuja mwenyewe kwa nauli yake
 
Yaani mtu mwenye akili zako timamu utenge muda kumsikiza huyo acha masikhara[emoji23]
Wajinga hawawezi kutuhubutu kumsikiliza. Sasa mtu kama wewe kiwango chako ni cha kumsikiliza Kibajaj
 
Tunamsubiria kiongozi wetu kipenzi cha watanzania wote
 
Kazi itakuwa kule kwa kina Agwe maana watu watateseka sana
 
Ndiyo maana mlitaka kumuondolea haki yake ya kuishi?
Hiyo safari anatokea mbinguni.....maana story nyingi mwisho wa siku atasema anaahirisha kwa sababu cdf hajamuhakikishia usalama wake.

Lisu ni mtata mtata sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…