Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Lumumba matumbo moto hamtalala mnaendelea kupanga njama zenu; ila mjue hakuna kisichokuwa na mwisho. Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga! Nyote mnaobeza yaliyompata Lissu mtalipa, na mara nyingine Mola akiamua, malipo ni hapa hapa duniani. Mwogopeni Mungu!
 
Hiyo safari anatokea mbinguni.....maana story nyingi mwisho wa siku atasema anaahirisha kwa sababu cdf hajamuhakikishia usalama wake.

Lisu ni mtata mtata sana.
baba chupa ongelea ya kigamboni mengine hayakuhusu
 
Ana hatia gani mwenzetu, hebu tusaidie!
 
Ana hatia gani mwenzetu, hebu tusaidie!
Hapa sio mahakamani subiri atue nchini ndipo atajua vizuri akishadakwa.Maelezo yote mahakamani sio Jamii forums.Akidakwa akifikishwa Segerea siku kesi ikipangwa ndipo atajua makosa yake.Anakaribishwa Segerea
 
HATA UKIJA UNAKUJA KAMA MSAFIRI MWINGNE TU ..................HUNA JIPYA LAKUTUAMBIA..............USHAPOTEZA DIRA YA SIASA.......KAWAONGOZE NG'OMBE NA FAMILIA YAKO TU.
 
Hivi hujisikii aibu kusema anazungumza na watanzania? Kama Nani kwamfano, sema atazungumza na wanachama wa Sacco's ya mtaa wa ufipa

Huna haja ya makasiriko kama wewe hutaki kusikia panda pantoni kaungane na yule jasusi mwenzako ambaye jana wamemwonyesha kwamba yeey si lolote si chochote b.weg...e yule
 
Hapa sio mahakamani subiri atue nchini ndipo atajua vizuri akishadakwa.Maelezo yote mahakamani sio Jamii forums.Akidakwa akifikishwa Segerea siku kesi ikipangwa ndipo atajua makosa yake.Anakaribishwa Segerea
Watu wenye uwendawazimu, na roho za shetani naona bado mpo wengi. Mtu mwenye Roho wa Mungu huwezi kufurahia mateso au shida ya mtu mwingine. Ni ibilisi ambaye kazi yake kuu ni uharibifu, ndiye mwenye hulka hizo.

Lakini siyo jambo la ajabu, maana ni lazima tuishi pamoja na shetani mpaka mwisho wa dahari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amn
amina tunakutakia safari njema na Mungu akubariki.
 
Jamani mimi simuelewi huyu mtu kwani alishasema anarudi nyumbani na atasindikizwa na walinzi kutoka UN sasa leo anaomba ulinzi wa polisi wa bongo jee wale wa Un wameahirisha?
 
Hiyo safari anatokea mbinguni.....maana story nyingi mwisho wa siku atasema anaahirisha kwa sababu cdf hajamuhakikishia usalama wake.

Lisu ni mtata mtata sana.
hapa kwenye viunga vya Lumumba naona watu wana pace up and down simu masikioni hazibanduki....

sura zao zimejaa hofu tupu maana kuna kila dalili yaliyotokea Kigamboni jana yatatokea pia kwenye kinyang'anyiro cha urais October. imagine kurejea kwa Lissu - ndiyo kabisaa jambajamba tu hapa!!
 
Jamani mimi simuelewi huyu mtu kwani alishasema anarudi nyumbani na atasindikizwa na walinzi kutoka UN sasa leo anaomba ulinzi wa polisi wa bongo jee wale wa Un wameahirisha?
Kikwetu mgeni aija kwako ukaona anaaga aga mara mbili mbili kuwa naondoka unajua huyo hataki kuondoka kanogewa na kwako hataki kuondoka kwako

Lisu kutwa kwenye vyombo vya habari ohhh narudi narudi kumbe muongo

Lisu kutwa anatangaza kurudi angalia matapeli hawa wakidanganya Chadema wenzao kuwa Tundu Lisu anarudi tarehe 7 mwezi wa tisa mwaka jana 2019!!

Msikie mwenyewe Mbowe na Lisu wakidanganya Chadema wenzao!! Mbowe naona kachoka usanii wake Lisu hataki tena kuonekana kituko kwenye vyombo vya habari kamwachia mwenyewe ona hii ambayo ndio imefanya Mbowe asitoe tamko tena kuhusu kurudi Msanii LISU kamwachia mwenyewe

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…