Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Mkuu upo sahihi, tatizo linalokuja ni je TL atapitishwa na chama chake!! Kama anakumbuka majuzi hapa EL alinukuliwa akisema atagombea 2020. Sioni namna ambayo Chadema inaweza kumpitisha TL na kumwacha EL.

Shida Mazingira ya uchaguzi yapo huru??Kumbuka Lissu anahitajika sana bungeni hii ya urais siyo ya kuipigia kwanja maana jamaa zetu kwa bao la mkono huwawezi
 
Comments zinaashiria jinsi watu wana hofu dhidi ya lisu akisimamishwa na sizonje.kuna mchakamchaka mkali unakuja 2020 nyie toeni macho tu
 
Erythrocyte,
NDOTO NJEMA WEWE ULIYELALA USINGIZI MZITO. CHADEMA HAIWEZI KUSHINDA URAIS NA 2020 HAWAPATI HATA 3,000,000 MAANA HUYO LOWASSA WATU WAMESHAGUNDUA ASINGEFANYA LA MAANA.
 
Mkuu Paskali, hata Tundu mwenyewe anajua kuwa ni mzuri sana kwenye nafasi ya kuongea hovyo na kukosoa lakini si utekelezaji. TLS sasa imeshamshinda,hakuna linalofanyika kwa manufaa ya wanasheria.
khaaaaa haya sasa majungu ya like, hiyo TLS tangu kakabidhiwa ina muda gan? mbna huku watumish wanalalamika na kuoandishwa madaraja na nyongeza za mishahara bt u don't dare kusema mkuu nchi imemshinda?..speak facts not blablabla na kawaida ni kwamba kila mwanasiasa wa upinzan anayekuwa tishio kwa sisiemu huwa mna mu under grade haonekan hafai...NO ONE LYK TUNDULISU in this country at this tym of SINTOFAHAMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comments zinaashiria jinsi watu wana hofu dhidi ya lisu akisimamishwa na sizonje.kuna mchakamchaka mkali unakuja 2020 nyie toeni macho tu
Viloba hamna sasa kaka mtapigiwa kura na nani?? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kama mnajiamini muwekeni si tupo kamiri gado na Jpm chums cha pua
Shida Mazingira ya uchaguzi yapo huru??Kumbuka Lissu anahitajika sana bungeni hii ya urais siyo ya kuipigia kwanja maana jamaa zetu kwa bao la mkono huwawezi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viloba hamna sasa kaka mtapigiwa kura na nani?? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kama mnajiamini muwekeni si tupo kamiri gado na Jpm chums cha pua



Sent using Jamii Forums mobile app

Kamuuliza huyo chuma cha pua kwanini anaogopa kuwapa uhuru wapinzani kufanya mikutano akikupa jibu ndiyo uje na hizo blah blah zako
 
NDOTO NJEMA WEWE ULIYELALA USINGIZI MZITO. CHADEMA HAIWEZI KUSHINDA URAIS NA 2020 HAWAPATI HATA 3,000,000 MAANA HUYO LOWASSA WATU WAMESHAGUNDUA ASINGEFANYA LA MAANA.
Kwa hawajiulizi kwa nn madiwani wao wanaamia Ccm kwa wingi na kasi kubwaa badala ya kutatua hilo tatizo wanaota kuchukua Urais hahahaha cdm mnanifurahisha kweli mnasafari ya matumaini sio ya uhakika mi nimepanda gari la uhakika la JPM HUKU RAHAAA TU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pasco hili fumbo ingawa umempiga dongo Lisu.. lakini kwa upande Wa Sheria ana uelewa mpana zaidi ya Mkuu Wetu..Labda namna ya uwasilishaji ndiyo inawatatiza baadhi ya Watu
Ila Ukweli upinzani Kwa 2020 ingekua Dr.Slaa yuko active kwenye Ulingo wa Siasa Kwa hali ilivyo Sasa ..Habari ingekua tofauti
 
Ule utukufu aliopewa Yesu kristo mnaotaka sisi wengine tumpe Magufuli hamtaupata hata mkitumia vifaru vyote vya nchi , sana mnaweza kuleta vita .

I hope madhara ya vita unayajua, and this will never happen in Tanzania. na kuprove hilo anza kuandamana kwenye awamu hii halafu uone kitakachotokea.

Upinzani mkiendelea kumfuata Lissu, msahau habari ya kuiondoa CCM madarakani.
 
Nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi wa umma iko kisheria lakini huyu mtukufu wetu ambaye pia ni Dikteta ametoa agizo watumishi wasipewe hiyo nyongeza mpaka itakapofikia 2020 ili waweze kumchagua yeye. Halafu ndo CCM wanasema anazingatia utawala wa sheria.
Hivi, kama Magufuli aliweza kuwa rais ws Tsnzania, pamoja na kutokuwa na sifa hata moja, je, kuna mtu atashindwa kuwa rais wa nchi hii? Mtu mshamba kama yule??? Hata ABC za utawala na uongozi hana...
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia kwa dhamana mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lissu, kinyume na maombi yaliyowekwa na mawakili wa Jamhuri ya kuzuia asipewe dhamana.

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Wilbard Mashauri amesema, baada ya kupitia hoja za serikali na majibu ya mawakili wa utetezi, haoni mantiki ya kuzuia dhamana kwa Lissu. Hivyo mahakama hiyo imemuachia Lissu kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya Sh.10 milioni, kila mmoja.!
 
Back
Top Bottom