Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,411
Mikutano mmeruhusiwa majimboni kwenu , sasa hivi sio wakati wa siasa ni muda wa kazi tu.mmekosa hoja nyaaambaf zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmezoea kutukana kama Mwenyekiti wenu sikushangai ndivyo Chama Cha Makinikia mlivyokuzwa matusi kwenu ni chakula.Huyo Mwenyekiti wenu badala ya kufanya kazi yuko busy kufanya kampeni ati mimi ndiyo rais nani kamwambia yeye mbunge??