Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Ninakukumbusha "ndugu yangu - kama kuna mtu au rafiki akija kuomba ushauri kwako tena kaongozana na mkewe, nawe na mkeo mkakaa taratiiibu ukamshauri- halafu ikatokea ushauri wako haukufuatwa wakaenda wakafanya wanayojua wao". Ikija kitokea tena sikunyingine wanataka ushauri. Jeee utakuwa tayari kuwashauri ??? Kwa mtizamo huo mimi naona *mawazo yangu* kwenye sanduku la kura huwa hayashindi, nimeamua kutokupiga kura asilani pamoja na wanangu, na wanaonizunguka, nimewafundisha hivyo. Labda endapo tuu kama patakuwa na *tume huru kabisa*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…