Umeongea ukweli Mchungu ambao chama Chetu Pendwa sana CCM hakitaki kuusikia.Ukiniuliza nitasema hivi,kama siyo Lissu basi 2020 tunatakiwa tumeweke RAIS ambaye ni purely mwanasheria,siyo mwalimu wa chekechea wala wa secondary tunahitaji mwansheria.
Ukiangalia nchi nyingi duniani zimeendelea kwa kuwa na Rais mwanasheria,tukiangalia Zimbabwe first Lady wa enzi zile alikuwa Mwanasheria na alimsaidia sana Mugabe kuiweka Zimbabwe kwenye mstari,alipokufa Mama yule na Mzee kuchukua chicken & Chips,uchumi wa Zimbabwe ulidondoka kama mvua ya mawe.
Angalia Clinton na Obama wote ni wanasheria ona walivyojenga Uchumi wa Marekani,na leo muone Trump anachofanya kutwa kucha kugombana na wanaomkosoa,hana tofauti na Baba J.
Kama tungekuwa na Tume huru hakika TL fits for presidency.