Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'Amekaa kisheria sheria zaidi'mwisho wa kunukuu- hivi huoni hiyo ni sifa ya ziada kuwa rais ili aweze kusimamia sheria za nchi?Tundu lissu naona amekaa kisheria sheria zaidu, nina wasi wasi na uwezo wake wa kusimamia maendeleo ya wananchi, ila all in all sidhani kama ana ushawishi mkubwa kwa wananchi kuliko lowassa , mbowe na zito. Kiufupi hafai na wala hafit hapo
Hii serikali imekaa kama kiimla imla hivi. Naona mambo mengi ya kisheria hupindishwa kwa makusudi. Sioni sababu yoyote ya msingi ya kutopandisha mishahara ya wafanyakazi kwa 4yrs.Nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi wa umma iko kisheria lakini huyu mtukufu wetu ambaye pia ni Dikteta ametoa agizo watumishi wasipewe hiyo nyongeza mpaka itakapofikia 2020 ili waweze kumchagua yeye. Halafu ndo CCM wanasema anazingatia utawala wa sheria.
Huyo ni mwanasheria mwanaharakati hafai kuongoza nchi hata siku moja!Pascal unaheshimika sana katika jukwaa hili, ni mwandishi mzuri, Mwenye Mawazo chanya. Mimi naomba niseme kwamba kwa sasa hatuhitaji mtu tunahitaji mifumo kuliko wakati wowote ule, kama TL yupo tayari kuitengeneza, kuifadhiri na kuilinda mifumo sawa lakini kama hayuko tayari hatufai maana TL na MZEE kama wanafanana kwa hulka vile, sema TL fani yake ya uanasheria ndiyo inayomfunga.Kimsingi naye rangi zake hazisomeki vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani DRC na Kenya hakuna Katiba mpya wapinzani walienda Mahakamani vipi walishinda?Hata angekuja malaika bila katiba mpya ni upuuzi mtupu nani asiyejua kuwa ccm ni chama dola hakijawahi kushinda popote tume yao ya chama kimoja katiba yenye kumtambua raisi akishatangazwa na hakuna wakuweza kumpinga mahakamani usenge mtupu yaani sijui hata chaguzi zinafanyika kama kutekeleza Zoezi ila raisi tayari yuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha chadema ndio inapaa matawi ya juuMkuu assessment uliyoitoa IPO right on point.
Kwa kifupi uongozi wa chadema ndio umekifikisha chama hapo kilipo( wanaonekana kama wameplataeu in terms of growth) na ili chama kikue au kiongoze ushawishi kwa wananchi basi inabidi yafanyike mabadiliko ya uongozi.
Kwa kifupi chadema kwa sasa inabidi ipate viongozi wenye expertise ya kukipeleka to the next level.
Katiba zao zinaruhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, ya kwetu hairuhusi. Kila nchi zina katiba zao. Katiba yetu inaruhusu matokeo ya ubunge na udiwani tu ndo yapingwe mahakamani. Sasa hii isiyo ruhusu hata kufika huko ni balaa, bora tupate inayoruhusu.Kwani DRC na Kenya hakuna Katiba mpya wapinzani walienda Mahakamani vipi walishinda?
C.c.m huwa haishindi!!! Inakwapua kuraHahahahaha,asimame tu,yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Ha ha muna kazi gani nyie ma tahira kila kitu haki endi kwa ni uraisi mulionao wenye legacy ya wezi ujambazi uuwaji na ufisadi muna faida kwa taifa letu au niwakufungwa mawe na Kutoswa BahariniHapa kazi tu! Stress zitakuua. Urais mtausikia tu labda urais wa TLS au TFF!!