Tundu Lissu ni mwanasiasa bora wa upinzani kwa sasa

Tundu Lissu ni mwanasiasa bora wa upinzani kwa sasa

ASIWAJU

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2022
Posts
1,938
Reaction score
1,632
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu sasa.

Taifa letu la Tanzania limekuwa na siasa za uonevu mkubwa wa haki za msingi kutoka kwa watawala kwenda kwa watawaliwa.

Aina hii ya uonevu unao tendeka hapa nchini unao sababishwa kwa asilimia kubwa na watawala ambao ni CCM una hitaji aina ya siasa na wanasiasa watakao weza kukabiliana nao.

Tundu Lissu kutokana nami kumfahamu kwa muda mrefu kutokana na msimamo wake ni mtu sahihi kwa sasa kupambana na huu mfumo, kikwazo kikubwa kwa lissu kwa sasa ni chama alichopo na aina ya siasa ifanyazo kwa sasa haziendani na kaliba ya mwanasiasa kama Lissu.

USHAURI: Kwa sasa taifa lina hitaji aina ya wanasiasa kaliba ya Lissu waki ungana naye na kuweza kuanzisha chama kipya kitakacho endana na aina ya misimamo waliyo nayo ambayo ni sahihi kwa sasa katika kupambana na watawala [ CCM ] tofauti na misimamo ya kisiasa ya vyama vya upinzani vilivyopo nchini kwa sasa.

Tundu Antiphas Lissu hayupo mahali sahihi[ CHADEMA ]

: Haya ni maoni na ushauri wangu, vipi kuhusu wewe ndugu mwanachama mwenzangu wa jamiiforums katika jukwaa hili la siasa maoni na ushauri wako kwa lissu ni upi ? Karibu
 
Tundu Antiphas Lissu
55159500_303.jpg
 
Nime kuwa mfuatiliaji wa siasa za kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu sasa.

Taifa letu la Tanzania limekuwa na siasa za uonevu mkubwa wa haki za msingi kutoka kwa watawala kwenda kwa watawaliwa.

Aina hii ya uonevu unao tendeka hapa nchini unao sababishwa kwa asilimia kubwa na watawala ambao ni CCM una hitaji aina ya siasa na wanasiasa watakao weza kukabiliana nao.

Tundu Lissu kutokana nami kumfahamu kwa muda mrefu kutokana na msimamo wake ni mtu sahihi kwa sasa kupambana na huu mfumo, kikwazo kikubwa kwa lissu kwa sasa ni chama alichopo na aina ya siasa ifanyazo kwa sasa haziendani na kaliba ya mwanasiasa kama Lissu.

USHAURI: Kwa sasa taifa lina hita aina ya wanasiasa kaliba ya Lissu waki ungana naye na kuweza kuanzisha chama kipya kitakacho endana na aina ya misimamo waliyo nayo ambayo ni sahihi kwa sasa katika kupambana na watawala [ CCM ] tofauti na misimamo ya kisiasa ya vyama vya upinzani vilivyopo nchi kwa sasa.

Tundu Antiphas Lissu hayupo mahali sahihi[ CHADEMA ]

: Haya ni maoni na ushauri wangu, vipi kuhusu wewe ndungu mwanachama mwenzangu wa Jamiiforums katika jukwaa hili la siasa maoni na ushauri wako kwa lissu ni upi ? Karibu
Kuhusu Tundu Lissu anayepinga ana chuki binafsi
 
Lisu yupo sehemu sahihi kwasababu nguvu waliyoitumia kukifikisha chama kilipo itamchukua miaka mingi iwapo atahama. Labda chair wa chama anatakiwa ku step down harakati ziendelee. Kwasiasa za DJ hawajitofautishi na CCM maana ni masifu na mapambio.
Siasa za kubembelezana, maridhiano na mapambio hazina afya kwa vyama vya upinzani na wanasiasa wa upinzani.
 
Lisu yupo sehemu sahihi kwasababu nguvu waliyoitumia kukifikisha chama kilipo itamchukua miaka mingi iwapo atahama. Labda chair wa chama anatakiwa ku step down harakati ziendelee. Kwasiasa za DJ hawajitofautishi na CCM maana ni masifu na mapambio.

Ni kweli kabisa, Mbowe hastahili kabisa kuendelea tena kuwa mwenyekiti wa CDM, maana anaanza kugeuka kwa kasi kuwa kama akina Mrema, Shibuda, Cheyo nk. CDM wakiendelea kumuacha Mbowe kuwa mwenyekiti atakipasua chama. Mbowe ashauriwe kukaa pembeni, au atolewe kwa lazima kwenye uenyekiti.
 
Lisu yupo sehemu sahihi kwasababu nguvu waliyoitumia kukifikisha chama kilipo itamchukua miaka mingi iwapo atahama. Labda chair wa chama anatakiwa ku step down harakati ziendelee. Kwasiasa za DJ hawajitofautishi na CCM maana ni masifu na mapambio.
Na wewe unataka tofauti tu!!?
 
Siasa za kubembelezana, maridhiano na mapambio hazina afya kwa vyama vya upinzani na wanasiasa wa upinzani.

Ni kweli kabisa, ni bora CDM wasifanye siasa, kuliko kufanya siasa zinazokuwa controlled na mwenyekiti mwenye ajenda ya siri na watawala.
 
Kuna msemo unasema kinacho kunyanyua juu kitunze au Kilicho kungarisha zidisha kukitumia. Mheshimiwa Tundu Lissu yupo kwenye chama sahihi. Tatizo kubwa Tanzania haipo fair kwenye siasa( alie kuwepo madarakani anatumia nguvu za dola kubaki madarakani)
 
Nime kuwa mfuatiliaji wa siasa za kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu sasa.

Taifa letu la Tanzania limekuwa na siasa za uonevu mkubwa wa haki za msingi kutoka kwa watawala kwenda kwa watawaliwa.

Aina hii ya uonevu unao tendeka hapa nchini unao sababishwa kwa asilimia kubwa na watawala ambao ni CCM una hitaji aina ya siasa na wanasiasa watakao weza kukabiliana nao.

Tundu Lissu kutokana nami kumfahamu kwa muda mrefu kutokana na msimamo wake ni mtu sahihi kwa sasa kupambana na huu mfumo, kikwazo kikubwa kwa lissu kwa sasa ni chama alichopo na aina ya siasa ifanyazo kwa sasa haziendani na kaliba ya mwanasiasa kama Lissu.

USHAURI: Kwa sasa taifa lina hitaji aina ya wanasiasa kaliba ya Lissu waki ungana naye na kuweza kuanzisha chama kipya kitakacho endana na aina ya misimamo waliyo nayo ambayo ni sahihi kwa sasa katika kupambana na watawala [ CCM ] tofauti na misimamo ya kisiasa ya vyama vya upinzani vilivyopo nchi kwa sasa.

Tundu Antiphas Lissu hayupo mahali sahihi[ CHADEMA ]

: Haya ni maoni na ushauri wangu, vipi kuhusu wewe ndugu mwanachama mwenzangu wa jamiiforums katika jukwaa hili la siasa maoni na ushauri wako kwa lissu ni upi ? Karibu
Atapambanaje zaidi ya kuongea ongea tuu?
 
Kuna msemo unasema kinacho kunyanyua juu kitunze au Kilicho kungarisha zidisha kukitumia. Mheshimiwa Tundu Lissu yupo kwenye chama sahihi. Tatizo kubwa Tanzania haipo fair kwenye siasa( alie kuwepo madarakani anatumia nguvu za dola kubaki madarakani)
Wana hitajika wanasiasa wengi wenye kaliba ya Lissu kupambana na huyo aliye madarakani kwa msaada wa nguvu za dola.
 
Ni kweli kabisa, ni bora CDM wasifanye siasa, kuliko kufanya siasa zinazokuwa controlled na mwenyekiti mwenye ajenda ya siri na watawala.
Hakika.
 
Back
Top Bottom