Acha kubeza Mwenyekiti wetu. Ndiye aliyewalea hao akina Lissu, akima Zitto na wengine woote unaoona ni bora.Lisu yupo sehemu sahihi kwasababu nguvu waliyoitumia kukifikisha chama kilipo itamchukua miaka mingi iwapo atahama. Labda chair wa chama anatakiwa ku step down harakati ziendelee. Kwasiasa za DJ hawajitofautishi na CCM maana ni masifu na mapambio.