Acha kubeza Mwenyekiti wetu. Ndiye aliyewalea hao akina Lissu, akima Zitto na wengine woote unaoona ni bora.Lisu yupo sehemu sahihi kwasababu nguvu waliyoitumia kukifikisha chama kilipo itamchukua miaka mingi iwapo atahama. Labda chair wa chama anatakiwa ku step down harakati ziendelee. Kwasiasa za DJ hawajitofautishi na CCM maana ni masifu na mapambio.
Roho mbaya na chuki zako hazitakufikisha popote.Lissu ni mwanasiasa Bora wa upinzani Kwa uropokaji!!
Nguvu ya Lissu ya ujasiri na hoja ilichangia sana afya ya yule bwana kuwa sio dhaifu. Ingawa kufariki tumeandikiwa na Mungu lakini Lissu alimtia stress sanaWana hitajika wanasiasa wengi wenye kaliba ya Lissu kupambana na huyo aliye madarakani kwa msaada wa nguvu za dola.
Watu waliofanikiwa ktk jambo lolote hawakati tamaa no matter what.Hatupaswi kuzikatia tamaa mkuu, ndizo zinazo amua hatima ya maisha yetu yaweje. tunapaswa kuzi rekebisha mahali zinapo enda ndivyo sivyo.
Tangia Uhuru hatujawahi kupata rais wa hovyo hovyo kama huyu.Uropokaji kama upi ?
TL alishawahi kuwa Rais?Tangia Uhuru hatujawahi kupata rais wa hovyo hovyo kama huyu.
Hatutaki siasa za visasi. Mbowe kwa sasa anapigania nchi ipate tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kabla ya uchaguzi na haya ni makubaliano kwenye maridhiano. Huko mnakotaka tuanzishe ugomvi na serikali hatutakwenda huwezi kushindana na dola. Siasa hasa ya upinzani inahitaji busara na akili ya hali ya juu kutimiza malengo mbona kama mmeshasahu kwa muda mfupi tulipotoka?Ni kweli kabisa, Mbowe hastahili kabisa kuendelea tena kuwa mwenyekiti wa CDM, maana anaanza kugeuka kwa kasi kuwa kama akina Mrema, Shibuda, Cheyo nk. CDM wakiendelea kumuacha Mbowe kuwa mwenyekiti atakipasua chama. Mbowe ashauriwe kukaa pembeni, au atolewe kwa lazima kwenye uenyekiti.
Hatutaki siasa za visasi. Mbowe kwa sasa anapigania nchi ipate tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kabla ya uchaguzi na haya ni makubaliano kwenye maridhiano. Huko mnakotaka tuanzishe ugomvi na serikali hatutakwenda huwezi kushindana na dola. Siasa hasa ya upinzani inahitaji busara na akili ya hali ya juu kutimiza malengo mbona kama mmeshasahu kwa muda mfupi tulipotoka?
Huyu si mwanasiasa bali ni mwana harakati. Alianza kama mwana harakati, anaendelea kama mwanaharakati na ataishia kama mwanaharakati.Nime kuwa mfuatiliaji wa siasa za kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu sasa.
Taifa letu la Tanzania limekuwa na siasa za uonevu mkubwa wa haki za msingi kutoka kwa watawala kwenda kwa watawaliwa.
Aina hii ya uonevu unao tendeka hapa nchini unao sababishwa kwa asilimia kubwa na watawala ambao ni CCM una hitaji aina ya siasa na wanasiasa watakao weza kukabiliana nao.
Tundu Lissu kutokana nami kumfahamu kwa muda mrefu kutokana na msimamo wake ni mtu sahihi kwa sasa kupambana na huu mfumo, kikwazo kikubwa kwa lissu kwa sasa ni chama alichopo na aina ya siasa ifanyazo kwa sasa haziendani na kaliba ya mwanasiasa kama Lissu.
USHAURI: Kwa sasa taifa lina hitaji aina ya wanasiasa kaliba ya Lissu waki ungana naye na kuweza kuanzisha chama kipya kitakacho endana na aina ya misimamo waliyo nayo ambayo ni sahihi kwa sasa katika kupambana na watawala [ CCM ] tofauti na misimamo ya kisiasa ya vyama vya upinzani vilivyopo nchi kwa sasa.
Tundu Antiphas Lissu hayupo mahali sahihi[ CHADEMA ]
: Haya ni maoni na ushauri wangu, vipi kuhusu wewe ndugu mwanachama mwenzangu wa jamiiforums katika jukwaa hili la siasa maoni na ushauri wako kwa lissu ni upi ? Karibu
Busara na akili ipi ya kunyenyekea watawala wanao wamumiza watawaliwa pamoja na wao vyama vya upinzani ?Hatutaki siasa za visasi. Mbowe kwa sasa anapigania nchi ipate tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kabla ya uchaguzi na haya ni makubaliano kwenye maridhiano. Huko mnakotaka tuanzishe ugomvi na serikali hatutakwenda huwezi kushindana na dola. Siasa hasa ya upinzani inahitaji busara na akili ya hali ya juu kutimiza malengo mbona kama mmeshasahu kwa muda mfupi tulipotoka?
Mwana harakati ni mtu wa namna gani na mwanasiasa ni mtu wa namna gani ?Huyu si mwanasiasa bali ni mwana harakati. Alianza kama mwana harakati, anaendelea kama mwanaharakati na ataishia kama mwanaharakati.
Siasa za kistaarabu zipi ? Za wizi wa kura ? , Za kupiga, kujeruhi, kuua na kupoteza watu kutoka kundi la watawaliwa ?, Kuminya na kukanyaga haki za kikatiba kwa kundi la watawaliwa ? Za kutumia vyombo vya dola? Za kuiba na kufilisi mali za watu kutoka kundi la watawaliwa walio kinyume na watawala ?Hana jipya, hasa katika zama hizi za siasa za kistaarabu.
Mimi sio mwanachama wa Chadema.CHADEMA MSIFANYE KOSA 2025 KUMPITISHA MWANAHARAKATI KUGOMBEA URAIS AU UENYEKITI/chadema.
Huyo Lissu wako ndio ana roho mbaya na chuki dhidi ya maendeleo ya Tanzania yule ni wakala wa MabeberuRoho mbaya na chuki zako hazitakufikisha popote.
Unauliza nani? Sindivyo babu yako huwa anaropoka.Nani ?
Babu yako hapo juu kauuliza lissu karopoka vitu gani? Ndo nikamwekea miropoko yake, nyie chadema mbona wagumu kuelewa?TL alishawahi kuwa Rais?