Tundu Lissu ni mwanasiasa bora wa upinzani kwa sasa

Mh πŸ€”πŸ€” ngoja uvccm waje wakiongozwa na mbatizaji!!
 
Huyo Lissu wako ndio ana roho mbaya na chuki dhidi ya maendeleo ya Tanzania yule ni wakala wa Mabeberu
Tangu lini mwanasheria nguli na mwanasiasa mbobevu Tundu Antiphas Lissu kawa wakala wa mbuzi ?
 
Uvccm wamepaniki sana tangu Rais atangaze uhuru wa siasa.
 
Mbowe alishasema kuwa mwaka huu ndiyo wa mwisho kwake kuwa Mwenyekiti,na ataheshimika akisimamia ahadi yake hii. Ametoa mchango wa kutosha kwenye chama ni wakati sasa kijiti amkabidhi mwingine atakayekipeleka chama next level.
 
Anarudi kuwahi keki ya taifa kabla Mbowe hajaimaliza peke yake πŸ˜€πŸ˜€
 
Ndio maana nasema wewe hujielewi uoni hapo nimemjibu nan
Kwa nini ulifanya hivyo toka awali, je ni nani hasa asie jielewa ? Je ni yule anaye tuhumuiwa na mwenzake kuto kujielewa ? Au ni yule anaye shiriki majibizano na yule asiye jielewa ?
 
Kichwa ngumu ni kipi unaweza kuelewa wewe? Hahahaha
Sawa, mimi kichwa changu kigumu wewe chako chepesi huo ndio utofauti uliopo kati yangu na wewe.

Kamwe vitu na mambo magumu kwa kichwa chako hayawezi kuwa upande wako hata siku moja, hivyo ni ngumu kwako kuya tafakari na kuya tatua katika njia iliyo bora.

Mfano: Mada/thread jadiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…