Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kawa hausi boi wa ubalozini sioLissu kajificha nyumbani kwa balozi wa Ujerumani. Wamemuwekea kitanda jikoni ndiyo analala hapo. Lissu bonge la coward aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawa hausi boi wa ubalozini sioLissu kajificha nyumbani kwa balozi wa Ujerumani. Wamemuwekea kitanda jikoni ndiyo analala hapo. Lissu bonge la coward aisee
Akili yako ndipo ilipoishia?Shame!Watu tuna shughuli zenu na tunategemea advertisement,nyie mmekalia upuuzi!Hatutaki kelele tumewafungulia barabara mmekimbia mnataka tu kutupigia kelele mitandaoni
Ka advertise huo mpododo barabarani.......shughuli mnazijua sahv si mlitaka kukinukisha hizo shughuli mngezifanyia wapiAkili yako ndipo ilipoishia?Shame!Watu tuna shughuli zenu na tunategemea advertisement,nyie mmekalia upuuzi!
Daah akili zenu sijui za wapi?U stand so low!!!Ka advertise huo mpododo barabarani.......shughuli mnazijua sahv si mlitaka kukinukisha hizo shughuli mngezifanyia wapi
Nitapanda juu ya mti usijaliDaah akili zenu sijui za wapi?U stand so low!!!
Kwahiyo?Nikiibiwa kura nitajisalimisha ubalozi wa nchi ya magharibi na kuomba hifadhi ya ukimbizi.
Hata sijui.Kwahiyo?
U better!Nitapanda juu ya mti usijali
Ok,cheerz kama unatumia charles glass!Hata sijui.
Utajijua.Ok,cheerz kama unatumia charles glass!
😂😂😂,maisha yanaendelea!Utajijua.
Ok.😂😂😂,maisha yanaendelea!
Mzee wa akili kubwa maandamano ya leo yanaelekea mtaa gani?Very hopeless argument. Yeye amesema akiibiwa kura, wewe unasema hata kama akiwa ameshindwa - unafahamu vizuri Kiswahili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasema kaibiwa Kura na hayatambui matokeo ya uchaguzi hivyo basi muandamane hadi uchaguzi urudiwe upya tena kwa Tume huru.Sema kidogo mtu unapoanzisha kitu kuwa makin kama umeelewa kwel au vip.. Kauli inasema Nikiibiwa*.. Sio nikishindwa. . ukijua utofauti hapa njoo ulete tena topic.
Yuko uhamishoni kwanza..Kasema kaibiwa Kura na hayatambui matokeo ya uchaguzi hivyo basi muandamane hadi uchaguzi urudiwe upya tena kwa Tume huru.
Umeelewa sasa Mr GT.