Heche awe katibu mkuuLissu anawauliza wanachama, je ana uhakika wa kushinda?
View: https://x.com/Lissu_2025/status/1870095911273091442/photo/1
Certified idiot.Ukiwa mwenyekiti tutashitakiwa MIGA
NDIO KUROPOKA HUKO TUSIKOKUPENDA, MROPOKAJI MPUUZILissu anawauliza wanachama, je ana uhakika wa kushinda?
View: https://x.com/Lissu_2025/status/1870095911273091442/photo/1
Mnyika? nashauri asije akawatupa wazoefu akaanza na wapya wote.Lemma Makamu Mwenyekiti na John Heche Katibu Mkuu.
Hapa watu wataanza kuongea peke yao mchana kweupe iyo combination ni balaaLemma Makamu Mwenyekiti na John Heche Katibu Mkuu.
Twende na Heche huyo lema mpaka aombe msamaha wapiga kura aliowasema wana laana,. Nanukuu Kuendesha bodaboda ni laana,mama ntilie ni laana, vicoba ni laana. Sasa mtu kama huyo atatupa kazi kumsafisha mpaka wapiga kura wamuelewe.Lissu anawauliza wanachama, je ana uhakika wa kushinda?
View: https://x.com/Lissu_2025/status/1870095911273091442/photo/1
Hii ndiyo kitu natamani.Lemma Makamu Mwenyekiti na John Heche Katibu Mkuu.
Of course,Lissu anawauliza wanachama, je ana uhakika wa kushinda?
View: https://x.com/Lissu_2025/status/1870095911273091442/photo/1
Haihusiani na mada iliyopo mezani.Twende na Heche huyo lema mpaka aombe msamaha wapiga kura aliowasema wana laana,. Nanukuu Kuendesha bodaboda ni laana,mama ntilie ni laana, vicoba ni laana. Sasa mtu kama huyo atatupa kazi kumsafisha mpaka wapiga kura wamuelewe.
Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.Lissu anawauliza wanachama, je ana uhakika wa kushinda?
View: https://x.com/Lissu_2025/status/1870095911273091442/photo/1